Why Do You Cheat?

Na cheat kumuonyesha mwenza kuwa maisha yanaweza kuendelea bila uwepo wake.

Na hii ni pale nasaha zipogonga ukuta naamini kuwa anataka kufunguliwa mlango wa kwa heri.

Akibadilika, michepuko bye bye πŸ‘‹
 
Na cheat kumuonyesha mwenza kuwa maisha yanaweza kuendelea bila uwepo wake.
Kwanini unatumia nguvu kumuonesha hivyo hivi unadhani inasaidia?
Hua unapata furaha au una mkomoa
Na hii ni pale nasaha zipogonga ukuta naamini kuwa anataka kufunguliwa mlango wa kwa heri.

Akibadilika, michepuko bye bye πŸ‘‹
Vp asipobadilika na yeye akatafuta mchepko?
 
Kwa sababu Mzee mmoja ninayemheshimu na kumwamini hapa mtaani aliniambia, "mwanangu wanawake wantofautiana utamu", nilipojaribu nikaona ni kweli.

Yaani nakuambia hadi Leo hii naendelea kuchiti tu. Siwezi kula chakula kilekile, I need balanced diet.
Aisee wewe tumechelewa
Kumbuka kinga kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…