Tatizo hampendi tukisema ukweli mjukuu...Babu unasema ππ
ShikamooAjabu ni kwamba na pesa zenyewe hawazipati/hawana! π
Mambo ya Malovee π
Sometimes watu walio penzini au kwenye ndoa hujikuta tu kwenye mtego wa cheating
Wengine huja na visingizio au sababu mbalimbali
Mwingine anasema, Sipewi hata nikiomba kwa chozi
π Basi anajikuta amecheat
Mwingine anasema, Mume haniridhishi
Akipiga kimoja cha kuku, anakoroma mpaka asubuhiπ
Mwingine anasema,
Nilitaka kupata experience
Kuna rafiki yangu aliolewa akiwa bikra
Kadiri alivyokuwa akikaa na kusikia wanawake wakihadithiana mambo ya jigijigi, na ukizingatia mume alikuwa na maudhi, akaamua kutaka kupata experience huko nje
Japo anasema hakuna furaha yoyote aliyopata zaidi ya kujutia tu
Sasa wewe unadhani cheating inasaidia au inabomoa kabisa pale penye ufa?
Nini kilikufanya uka-cheat?
Unajutia?
Umeacha au bado unaendelea?
Huwa hujisikii vibaya ukimcheat wa ubani?
-Au hujawahi kabisa?
Friday night π€
ShesRise_1 βοΈ
Na cheat kumuonyesha mwenza kuwa maisha yanaweza kuendelea bila uwepo wake.Mambo ya Malovee π
Sometimes watu walio penzini au kwenye ndoa hujikuta tu kwenye mtego wa cheating
Wengine huja na visingizio au sababu mbalimbali
Mwingine anasema, Sipewi hata nikiomba kwa chozi
π Basi anajikuta amecheat
Mwingine anasema, Mume haniridhishi
Akipiga kimoja cha kuku, anakoroma mpaka asubuhiπ
Mwingine anasema,
Nilitaka kupata experience
Kuna rafiki yangu aliolewa akiwa bikra
Kadiri alivyokuwa akikaa na kusikia wanawake wakihadithiana mambo ya jigijigi, na ukizingatia mume alikuwa na maudhi, akaamua kutaka kupata experience huko nje
Japo anasema hakuna furaha yoyote aliyopata zaidi ya kujutia tu
Sasa wewe unadhani cheating inasaidia au inabomoa kabisa pale penye ufa?
Nini kilikufanya uka-cheat?
Unajutia?
Umeacha au bado unaendelea?
Huwa hujisikii vibaya ukimcheat wa ubani?
-Au hujawahi kabisa?
Friday night π€
ShesRise_1 βοΈ
Nimeshamjibu huko page za juuKumpenda tu haitoshi mkuu, inahitajika nguvu ya ziada ila ujibu swali la mjukuu ipasavyoπ π
Shikamoo
Babu sema mi nakuamini sana πTatizo hampendi tukisema ukweli mjukuu...
Sijambo kabisa nipo hivi πͺMarahaba, hujambo binti!
Kwa sababu Mzee mmoja ninayemheshimu na kumwamini hapa mtaani aliniambia, "mwanangu wanawake wantofautiana utamu", nilipojaribu nikaona ni kweli.Kwanini sasa
Hujutii after?
Sijambo kabisa nipo hivi πͺ
Kwanini unatumia nguvu kumuonesha hivyo hivi unadhani inasaidia?Na cheat kumuonyesha mwenza kuwa maisha yanaweza kuendelea bila uwepo wake.
Vp asipobadilika na yeye akatafuta mchepko?Na hii ni pale nasaha zipogonga ukuta naamini kuwa anataka kufunguliwa mlango wa kwa heri.
Akibadilika, michepuko bye bye π
Hii imekaa vizuri mjukuu wangu! Hamna kitu kizuri kama imani.Babu sema mi nakuamini sana π
Hebu kalale.Nimefanyaje kwani!
Wow ππ nina imani kali kwa babuHii imekaa vizuri mjukuu wangu! Hamna kitu kizuri kama imani.
Aisee wewe tumechelewaKwa sababu Mzee mmoja ninayemheshimu na kumwamini hapa mtaani aliniambia, "mwanangu wanawake wantofautiana utamu", nilipojaribu nikaona ni kweli.
Yaani nakuambia hadi Leo hii naendelea kuchiti tu. Siwezi kula chakula kilekile, I need balanced diet.
Sasa unafanya nataka kupata goosebumps, sijui kiswahili niaje hapo...π πWow ππ nina imani kali kwa babu
Msisimko auπSasa unafanya nataka kupata goosebumps, sijui kiswahili niaje hapo...π π
Ewaaaa, maneno yako mjukuu! Unataka nipandishe sukari yangu sasaπ πMsisimko auπ
Babu yangu mzurii π€£π€£
We una UKIMWIMpaka nivae kondom akighairi
Uwiii tulia we babu sitaki kumpoteza babu mieπ€£π€£Ewaaaa, maneno yako mjukuu! Unataka nipandishe sukari yangu sasaπ π