Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,272
- 31,395
Hao ndiyo wenye kukaanga mbyuuuuuu......huwaaachia wenye meno watafuneeeee...................Wapendwa endeleeni naumwa kichwa mie ngoja nikapumzike kidogo ...
Hao ndiyo wenye kukaanga mbyuuuuuu......huwaaachia wenye meno watafuneeeee...................Wapendwa endeleeni naumwa kichwa mie ngoja nikapumzike kidogo ...
haswa!!! mimi na amini asilimia kubwa ya wanawake wanaotembea nje ya mahusiano yao inapelekewa na wanaume wenyewe........Ni kweli kipofu maana anakufundisha bila kujua. Mara nyingi matendo ya mume/mpenzi wa kiume ndo yanakufundisha wewe kucheat!!
Ni kweli kipofu maana anakufundisha bila kujua. Mara nyingi matendo ya mume/mpenzi wa kiume ndo yanakufundisha wewe kucheat!!
heart desire kama wenyewe wanacheat sisi je wote tuna moyo mmoja tumeumbwa kwa damu na nyama same same with..mme wangu ali-cheat sitasahau daima dumu katafuna wadogo zangu 2..moyo unaumia
heart desire kama wenyewe wanacheat sisi je wote tuna moyo mmoja tumeumbwa kwa damu na nyama same same with..mme wangu ali-cheat sitasahau daima dumu katafuna wadogo zangu 2..moyo unaumia
haswa!!! mimi na amini asilimia kubwa ya wanawake wanaotembea nje ya mahusiano yao inapelekewa na wanaume wenyewe........
Passing the blame....
heart desire kama wenyewe wanacheat sisi je wote tuna moyo mmoja tumeumbwa kwa damu na nyama same same with..mme wangu ali-cheat sitasahau daima dumu katafuna wadogo zangu 2..moyo unaumia
Hii sentence imenipasua moyo Egyps. Pole dada yangu
Kweli mzee ila mara nyingi hapo kwenye nyekundu siblings ndo hua wanaanza visa...sasa ukikuta mbaba thaifu anamaliza tuu!aya aya ayaaaaa hii iko deep sana na dip pia!!!
Pole sana Egyps, i think kwa issue yako your husband cheated on you but mbaya zaidi ni kwamba your siblings betrayed you as well, which is even worse!! Daaaaahh, painful kinoma
bht -ndo maisha mme wangu nikiwa masomoni nilimwacha na mdogo wangu kuangalia familia yangu..mwisho wa siku mme wangu sijui alitumia convising power gani akamtafuna..wat!! wadogo zako as in the african sense au kibaiolojia???
Dah pole we!! Life is so strange!bht -ndo maisha mme wangu nikiwa masomoni nilimwacha na mdogo wangu kuangalia familia yangu..mwisho wa siku mme wangu sijui alitumia convising power gani akamtafuna..
Mdogo wangu mwingine kaja kuangalia familia ili mwenzie arudi nyumbani mme wangu naye akatafuna ..
Kilichotokea mimba ya shemeji ndio ilipasua jungu baada ya kumbana ...kikao cha family kukaa na mwingine nae huku akilia machozi akatamka kwa uchungu na yeye shemeji alikula na kuharibu usichana wake..
siamini .....
bht -ndo maisha mme wangu nikiwa masomoni nilimwacha na mdogo wangu kuangalia familia yangu..mwisho wa siku mme wangu sijui alitumia convising power gani akamtafuna..
Mdogo wangu mwingine kaja kuangalia familia ili mwenzie arudi nyumbani mme wangu naye akatafuna ..
Kilichotokea mimba ya shemeji ndio ilipasua jungu baada ya kumbana ...kikao cha family kukaa na mwingine nae huku akilia machozi akatamka kwa uchungu na yeye shemeji alikula na kuharibu usichana wake..
siamini .....
Nawaambieni msioe wala msiolewe hamnisikii. Huyo aliyemegewa wadogo zake angekuwa hajaolewa yasingemtokea hayo
mpaka sasa sina majibu nimfanyeje huyu mme muuuaji ..yes kwangu mimi ni muuaji kwa sasa sitashangaa sana nikiona mama /dada anacheat sitashangaa hata kidogo kwa niliyopitia