Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
mie sioni tatizo manake wakienda kucheat bado wana cheat na sisi (wanaume).kwahio hilo swala ni la mda mfupi tu kwani huyo anaye cheat nae na yeye pia ana cheat na yeye.cheating is just a game going back n forth n u cant stop any one from doing it if they want to do it.
the best way to stop it maybe,is to increase communication in ur relationship with your partner.jipeni uhuru wakukosoana na kuwa wawazi pale unapoona kuna upungufu ,mmoja wenu anaweza kukasirika kusikia ukweli lakini atafanya bidii ya kubadirika kama yuko intrested na wewe.kupitia njia hii basi wote wawili mtaweza kufanikisha sifa mnazozitaka kutoka kwa mwenzako.
zaidi ya hapo cheating is not a long term solution.
the best way to stop it maybe,is to increase communication in ur relationship with your partner.jipeni uhuru wakukosoana na kuwa wawazi pale unapoona kuna upungufu ,mmoja wenu anaweza kukasirika kusikia ukweli lakini atafanya bidii ya kubadirika kama yuko intrested na wewe.kupitia njia hii basi wote wawili mtaweza kufanikisha sifa mnazozitaka kutoka kwa mwenzako.
zaidi ya hapo cheating is not a long term solution.