Why do women cheat...

Why do women cheat...

alah huko nako kuna probesheni?? ya muda gani sasa??


ndo umenikumbusha mbali sana when u said tht!!
heee binamu ulei nao una probesheni kumbe??? we tayari.....?

mi ni mkatekumeni tu B! hata kufikiriwa kuingia probesheni bado!
 
alah huko nako kuna probesheni?? ya muda gani sasa??

heee binamu ulei nao una probesheni kumbe??? we tayari.....?

Kila ngazi ina probesheni... lazima mwenendo uwe monitad kama unaendana na mapenzi ya Mungu
 
Hahahaaaa.... inaonekana we ni Mbwa Mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo, ukikaribishwa zizini utatafuna kondoo wote...

Usiwe na shaka mm ni mchungaji mwema ukinikabidhi kondoo walio nona.
 
Usiwe na shaka mm ni mchungaji mwema ukinikabidhi kondoo walio nona.

Kumbe we sio mchungaji mwema, Mchungaji mwema ni yule anayechukua Kondoo waliokonda anawalisha ili wanone...
 
Halafu kuna mtu aseme ati watu wataacha kudumisha MILA homeboy? kwani kimapokeo si ndo kuna MILA ndani yake au sio😀
nitachungulia halafu nitamwambia,USIKASIRIKE🙂
 
Back
Top Bottom