Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
Huyo tayari wachina watakua wameshamnasa,suala la yeye kwenda kuropokea hongkong ni wazi kuwa alikua anapanga kutorokea china.
Ila vilevile yawezekana majasusi wa marekani wameshamnyaka na kama ndivyo,ataimba haleluya,wao huwa hawang'oi kucha,you just disappear without trace.
Ila vilevile yawezekana majasusi wa marekani wameshamnyaka na kama ndivyo,ataimba haleluya,wao huwa hawang'oi kucha,you just disappear without trace.