Why do people blow the whistle? Would you?

Why do people blow the whistle? Would you?

Aisee unatakiwa uwe na moyo hasa.

Jamaa anapata GBP 700,000 halafu anapiga teke kazi duh!!! Yataka moyo sana otherwise mtu utabaki unaumia kindani ndani kwamba haikuhusu huku unaumia unakosa uzingizi.

Pesa mbele kwanza eh?
 
"True patriotism hates injustice in its own land more than anywhere else." -― Clarence Darrow


i25qm.jpg


 
Its need to be strong..

I have that heart of blowing a whistle... ooh sory! Mkuu EMT did
Late Amina Chifupa marked as a whistle blower?

In Tanzania They can kill you shortly...
 
Last edited by a moderator:
Hapa kwetu badala ya kuonekana shujaa utaonekana kuwa mpumbavu aliyebobea na mwenye "kimbelembele" kisichokuwa na akili
 
Its need to be strong..

I have that heart of blowing a whistle... ooh sory! Mkuu EMT did
Late Amina Chifupa marked as a whistle blower?

In Tanzania They can kill you shortly...

Kuna kesi moja inaendelea huko Uingereza ambapo mwanasheria wa Kiingereza aliyekuwa anafanya kazi kwenye law firm ya Kitanzania, alifukuzwa baada ya kupuliza kipenga.

Mwanasheria huo alihisi kuwa managing partner wa hiyo law firm ya kibongo alikuwa anajihusidha na money laundering na kutoa rushwa ili kupewa deals.

A former partner with City firm Clyde & Co has been granted permission to appeal to the Supreme Court against a ruling that she was not protected under whistleblowing legislation.


Krista Bates Van Winkelhof, an equity partner with the firm, was based principally in Tanzania where she was employed by local firm Ako Law under a joint-venture agreement.

She was sacked from Ako Law in November 2010 after reporting her concerns that the firm's managing partner had been involved in money laundering and had paid bribes to get work and influence the outcome of cases: Sacked Clyde partner allowed to appeal whistleblowing ruling | Solicitors Journal
 
Pesa mbele kwanza eh?

Hamna anayependa uovu sema kila mtu lazima atazame mbele zaidi kwamba outcome itakuwa nini je kuna system ambazo zitawezesha changes kutokea nikishapuliza filimbi au ndio ile ile unabaki HERO huku unakufa na njaa kama huyo mama hapo juu ambaye alikuwa Nursing home akipiga simu kuomba kazi wanamuuliza nyie ndio wale wa BUKA eee?
 
Hamna anayependa uovu sema kila mtu lazima atazame mbele zaidi kwamba outcome itakuwa nini je kuna system ambazo zitawezesha changes kutokea nikishapuliza filimbi au ndio ile ile unabaki HERO huku unakufa na njaa kama huyo mama hapo juu ambaye alikuwa Nursing home akipiga simu kuomba kazi wanamuuliza nyie ndio wale wa BUKA eee?

Lakini taifa ambalo halina heroes lita-suvirve kweli? Ndiyo utaifa huo. If you love your nation, sacrifice for your nation.

Kama wewe ni nesi na unaona wagonjwa wanatendewa visivyo, utaendelea kukaa kimya? There is a dilemma here, whether kupuliza kipenga au kukaa kimya.

Kwa mfano angalia hiyo story ya Mwingereza hapo juu. She was sacked from Ako Law (Tanzania Law firm) in November 2010 after reporting her concerns that the firm's managing partner had been involved in money laundering and had paid bribes to get work and influence the outcome of cases. Huyo wala hakuwa Mtanzania. Angekuwa Mtanzania sidhani kama angepuliza kipenga.

Lakini nafikiri inategemea pia kama whisle blowers wanalindwa kisheria. Sijui kama wana protection yoyote hapa nchini. Unawezakuta baada ya huyo Mwingereza kupuliza kipenga, firm haijachukuliwa hatua zozote za kisheria, let alone kuchunguzwa kama ni kweli.
 
Back
Top Bottom