Why Do Girls React When Asked"are You A Virgin?

Why Do Girls React When Asked"are You A Virgin?

Wewe unayeuliza u are not virgin how do you expect to get a virgin
 
mwanamke yoyote ambaye sio virgin ukimuuliza hilo lazima akasirike because its a shame kuwa umegegedwa kabla ya kuolewa. huo ndio ukweli wenyewe.
 
hii ni sawa na mgeni rasmi kualikwa ktk uzinduzi kisha kukuta kitu chenyewe used,lazima mwalikaji abwabwaje
 
mwanamke yoyote ambaye sio virgin ukimuuliza hilo lazima akasirike because its a shame kuwa umegegedwa kabla ya kuolewa. huo ndio ukweli wenyewe.

Umeanza na wewe kutema udambwi dambwi wako....na wanaume wanaogegeda kabla ya ndoa wao ni saints??
 
Umeanza na wewe kutema udambwi dambwi wako....na wanaume wanaogegeda kabla ya ndoa wao ni saints??

wee usiniulize swali just sema kuwa wanaume wanaogegeda kabla ya ndoa nao shuld be ashamed sio kuniuliza swali wakati its obvious kuwa this applies both ways
 
Wadada wengi wamepoteza usichana kwa watu ambao wameachana kwa magomvi au na watu wasio na uelekeo kimaisha,au wametolewa ubikra na mahusiano kuishia hapo,so kuulizwa swali hilo huwakumbusha machungu kwa hiyo huchukia
..
 
Kinachokera kuliko vyote ni pale ambapo unamuambia mtu yes im a virgin na anaanza kukataa. It is disgusting really! Just because you are immoral doesnt mean everyone else is, au sio? Or when you hear i have had one boyfriend only, do you believe it or you presume its a lie?
Well, unless you are planning to sleep with that lady, keep away personal questions like the virginity status. Its like being asked do you have a big dick?

it doesn't make any sense at all, just imagine the guy asked his cousin if she is virgin!!!!!!!!! duniani kuna mambo
 
That is sexual harassment. Ni vile hakuna hizo policy nyumbani, im sure ukiuliza hilo swali kazini utaipata.

Na trend siku hizi ni ''una mchepuko? Ulishawahi kuliwa tigo? " . Na jitu ukilijibu halikuamini. Why ask then?
it doesn't make any sense at all, just imagine the guy asked his cousin if she is virgin!!!!!!!!! duniani kuna mambo
 
No body will be proud answering you in a positive way,its humiliating and embarrasing...and its not necessary to ask this
 
Hivi how would a man react akiulizwa na mtu tu ambae hamna hata dalili za mahusiano swali hili.

"Do you have a big dick ama una kibamia?"
 
Bado kuna wanaume wenzangu wana matumaini ya kukuta bikra karne hii....???
Wapo mabinti wenye asili ya kiarabu hawaguswi hadi wanapoolewa. Nenda hata Zanzibar wapo. Walioharibika ni hawa wa kwetu tu.
 
Jamani mbona wengi mnaojibu mpo kama mmekereka!!? Mimi naamini kuwa mwanamke asiye na bikra kabla ya ndoa basi hana Heshima kwa Mume wake na Mbele za mungu. Na kama alivyoshindwa kujitunza kabla ya kuolewa basi sitegemei ajitunze akiwa ndani ya ndoa. Vijana ambao hamjaoa ukitaka uwe na amani ya ndoa basi tafuteni wasichana waliojitunza.
Msinitukane.
 
Asilimia 99 ya wanawake huwa hawaolewi na wanaume waliowatoa bikra-Tafiti.
 
Wapo mabinti wenye asili ya kiarabu hawaguswi hadi wanapoolewa. Nenda hata Zanzibar wapo. Walioharibika ni hawa wa kwetu tu.

sasa unadhani utampata kirahisi?? hata hao waarabu wapo walioharibika kama sio kuoza.. tena hao ndo wanaongoza kuwasmartphonisha watu
 
Back
Top Bottom