Why did I get Married?

Why did I get Married?

Am getting married to someone that I love and cna live with...not without!!!
 
ndio kama miezi mi 3 nimetoka kutendwa na lile lijamaa ambalo tulipanga mengi tu ya future nikaja kutana na mr, ckuwa namwanmini mana kwa kichwa tayari nilijiwekea wanaume wote ni wale wale tu...tukawa wapenzi lakini kwangu mie milikuwa nampenda ile ki uoga uoga nikiogopa kutendwa, bfrnd alitumia jitihada nyingi kunionyesha kwamba yeye ni wa ofauti na huko nilipotokea coz nilimweleza kila kitu....aliniingia kwenye ulimwengu mwingine wa mapenzi nikajiona nipo dunia nyingine, cku ya cku akaniambia tuka check afya, tukakuta tupo poa na ndio mambo ya kulazimishana jpili hii lazima twende church wote ndio akanifanyia surprise ya engagement....niliingia kwenye ndoa kwa raha zote mpaka nilipokuja kuona ups & downs za ndoa na kupambana nazo....kilichonifanya niingie kwenye ndoa ni mapenzi/mapendo/huruma na kujali kwake........
 
Shishi they say kuwa enjoy while the novelity is still high what if ikipungua?

Mimi ninaamini kuoana kwa kigezo cha love tu inaweza isiwe sahihi (ni mtizamo wangu tu) kwa sababu ndani ya ndoa ule upya ukishaisha si wanadai yanabaki mazoea? nimemzoea sasa but kunakuwa na uzi mwingine ambao si love unaishikilia ndoa yenu mfano labda ana roho nzuri, anajali familia yake, is a reliable person ambaye unawezamkimbilia unapokuwa na shida.

So when love is no longer an issue (kwa maana kuwa wale butterflies tumboni huwasikii tena ukimwona) si umeshamzoea you have some other reason to smile to him/her. Sijui lakini ni mawazo yangu tu!
 
ndio kama miezi mi 3 nimetoka kutendwa na lile lijamaa ambalo tulipanga mengi tu ya future nikaja kutana na mr, ckuwa namwanmini mana kwa kichwa tayari nilijiwekea wanaume wote ni wale wale tu...tukawa wapenzi lakini kwangu mie milikuwa nampenda ile ki uoga uoga nikiogopa kutendwa, bfrnd alitumia jitihada nyingi kunionyesha kwamba yeye ni wa ofauti na huko nilipotokea coz nilimweleza kila kitu....aliniingia kwenye ulimwengu mwingine wa mapenzi nikajiona nipo dunia nyingine, cku ya cku akaniambia tuka check afya, tukakuta tupo poa na ndio mambo ya kulazimishana jpili hii lazima twende church wote ndio akanifanyia surprise ya engagement....niliingia kwenye ndoa kwa raha zote mpaka nilipokuja kuona ups & downs za ndoa na kupambana nazo....kilichonifanya niingie kwenye ndoa ni mapenzi/mapendo/huruma na kujali kwake........

Dada ungeniona nilivyokuwa naisubiria hii toka jana ungenionea huruma. Aksante your story is touchy. Yes umesema vema more than love: hapa huruma, kujali so siku ukiona huna love tena kwake unakumbukia tu huruma na kujali kwake then the love might be renewed.
 
Dada ungeniona nilivyokuwa naisubiria hii toka jana ungenionea huruma. Aksante your story is touchy. Yes umesema vema more than love: hapa huruma, kujali so siku ukiona huna love tena kwake unakumbukia tu huruma na kujali kwake then the love might be renewed.


MJ1 nilishaku pm cku moja kuhusu ishu fulani, sasa pale nicngeweza kusema bado kulikuwa na love, pale ilikuwa ni kuijali familia/huruma yake ikamfanya aone hatendi haki na mambo kama hayo, na ndio nilikuwa nayakumbuka yote hayo nikaona nikifanya aclotegemea nitammaliza kimawazo kabisa baba watoto, so nilikuwepo kwa ajili ya kujali/huruma na mapendo yake.
 
Jamani mi nimeoa Tanga and that says it all.....
 
mj1 nilishaku pm cku moja kuhusu ishu fulani, sasa pale nicngeweza kusema bado kulikuwa na love, pale ilikuwa ni kuijali familia/huruma yake ikamfanya aone hatendi haki na mambo kama hayo, na ndio nilikuwa nayakumbuka yote hayo nikaona nikifanya aclotegemea nitammaliza kimawazo kabisa baba watoto, so nilikuwepo kwa ajili ya kujali/huruma na mapendo yake.

du haya mambo ya love /relatioship magumua eeh
 
Tunaelewana tunazumza lugha moja, tunasaidiana shida na raha. Kizuri zaidi nampenda kutoka rohoni siyo muonekano.

Up and downs ni kawaida na zinadumisha ndoa ili muendelee kujua umuhimu wa maisha.
 
kunakuwa na uzi mwingine ambao si love unaishikilia ndoa yenu mfano labda ana roho nzuri, anajali familia yake, is a reliable person ambaye unawezamkimbilia unapokuwa na shida.

So when love is no longer an issue (kwa maana kuwa wale butterflies tumboni huwasikii tena ukimwona) si umeshamzoea you have some other reason to smile to him/her. Sijui lakini ni mawazo yangu tu!


Hujakosea kabisa MJ1.
Unaweza kuona watu wana ups and downs zao lakini bado wameng'ang'aniana kama luba - kuna hiki kitu extra ambacho u cannot trade for anything in this world no matter what.This applies to both men and women.
 
MJ1 nilishaku pm cku moja kuhusu ishu fulani, sasa pale nicngeweza kusema bado kulikuwa na love, pale ilikuwa ni kuijali familia/huruma yake ikamfanya aone hatendi haki na mambo kama hayo, na ndio nilikuwa nayakumbuka yote hayo nikaona nikifanya aclotegemea nitammaliza kimawazo kabisa baba watoto, so nilikuwepo kwa ajili ya kujali/huruma na mapendo yake.

HIKI NDICHO NINACHOKISEMA nyamayao kuhusiana na kuoa for the love! yaani iko siku tu love itapoteza mvuto na haitakuwa sababu ya msingi ya nyie kuishi pamoja bali zile nyingine. Aksante nyamayao kwa kunisaidia kuiweka vizuri hii mada.
 
_ Unadhani ni nini kilikufanya uoane na mwenzio/uamue kumuoa/ukubali kuolewa na mwenzi uliye naye?
_ Je unafikiri sababu hiyo iliyopelekea wewe kumuoa/olewa naye bado ipo hata baada ya maisha ya ndoa?

Kuwa na huduma unayoihitaji karibu yako ndio msingi wa maisha! Juhudi nyingi katika harakati za kuishi ni katika kujaribu kusogeza huduma na mahitaji mengineyo karibu yetu. Kwa hivyo hata kuoa ni moja ya jitihada za kusogeza ile huduma iwe karibu yako.......upate ile kitu kwa kiasi na muda unaotaka.

Kwetu uswahilini tunasema pia uzuri wa maji ya kunywa ni pale unaposikia kitu! Sasa kama unasikia kiu sasa hivi halafu mtu anakuletea maji kesho, ile thamani inapungua.

Haya mkuu
 
Hujakosea kabisa MJ1.
Unaweza kuona watu wana ups and downs zao lakini bado wameng'ang'aniana kama luba - kuna hiki kitu extra ambacho u cannot trade for anything in this world no matter what.This applies to both men and women.

Dada VC hapo ndipo ninapomaanisha mimi. Its more than just love. Yaani eti ananipenda tu, anayajua mapenzi n.k bila hizi chachandu nyingine! Hapana that extra thing
 
du haya mambo ya love /relatioship magumua eeh


samahani mami naomba kuuliza kama huto mind, una muda gani kwenye ndoa?...nahic kama bado hujapitia kurupushani kabisa au kwako mami baraka zinatembelea?...mie nilipata purukushani ujauzito ulipofikisha 5months, nimekomalia huko hakuna wa kunieleza ishu kwasasa, na najihc nimepita mapito haswa na najipumzikia/ku relax tu kwasasa.....
 
samahani mami naomba kuuliza kama huto mind, una muda gani kwenye ndoa?...nahic kama bado hujapitia kurupushani kabisa au kwako mami baraka zinatembelea?...mie nilipata purukushani ujauzito ulipofikisha 5months, nimekomalia huko hakuna wa kunieleza ishu kwasasa, na najihc nimepita mapito haswa na najipumzikia/ku relax tu kwasasa.....

madame niliyopitia yananitosha hata sitaki kukumbuka maumivu yoyote
naona mwenyezi mungu kaamua kunyoosha mkono wake kwangu ..cause naweza kukwambia ya kwangu ukaona hee kumbe yako yana nafuu .
 
na ndo maana nikasema mapenzi mie sijui kuna siri gani kubwa iliyopo na huko mbeleni tunakoelekea sijui hivi vizazi vitakuwaje
 
Back
Top Bottom