Why can't this guy coexist peacefully with others

Pilipili usiyo ila ya kuwashia nini?
 
Umeongea maneno yangu.. Asante sana
 

Kile alichoongea ni uongoo? Hayo maeneo hakijanukaa kaka mkubwaaa
 
Thanks for a well researched report. The problem with these guys is, they hate everybody. The result of this is they hate even themselves.
Look at their role models
 

Attachments

  • Screenshot_2025-03-21-15-16-49-04.jpg
    415 KB · Views: 7
Ukisoma quran na Sunnah imekataza kabisa waislam kuwa na urafiki na wakristo.

Hata waislamu kuanza kuwasalimia wakristo njiani hawaruhusiwi

Imagine dini inafundisha chuki kwa wengine
Wewe umekua brain washed...tumeambiwa tushirikiane nanyi tuishi nanyi kwa wema ili isiwape taabu hata kuja kuwa wamoja wetu

Sijui mpoje....hapo hapo tumekatazwa kushiriki kwenye mambo yenu mfano sikukuu zenu n.k
yani Mimi nisherehekee kufa kwa yesu ilihal Imani yangu inanambia yeye ni katika viumbe ambavyo havijaonja umaut

Hua sipendag mada za kidini na hizi ndo zinaibuaga mijadala ya kihisia na hasira hadi kupelea vita km hamjui

Endeleeni kujifanya mnajua na vingereza vyenu vya darasa la 3
I'm out 🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️
 
Pilipili usiyo ila ya kuwashia nini?
Huyu sio mtu wa kwanza wala hatakuwa wa mwisho kutumia ulimi na kalamu yake kujaribu kuizima Nuru ya Allah. Hatakuwa wa kwanza kupiga propaganda dhidi ya Uislam. Lakini kama watu wengine mfano wake waliopita (ambao wapo waliokuwa na akili, mipango, njama na nguvu kuliko yeye), hatoshinda. Namuombea kwa Allah amuongoze katika Uislam.

Motoekoppela te soma hapo chini;

ayat 8 from Surah As-Saff
﴿يُرِيدُونَ لِيُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَاللَّهُ مُتِمُّ نُورِهِ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ﴾
[ الصف: 8]

Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia.

Soma tena;

Tamim al-Dari reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “This matter will certainly reach every place touched by the night and day. Allah will not leave a house or residence but that Allah will cause this religion to enter it, by which the honorable will be honored, and the disgraceful will be disgraced. Allah will honor the honorable with Islam, and he will disgrace the disgraceful with unbelief.”

Source: Musnad Aḥmad 16957

Grade: Sahih (authentic) according to Al-Arna’ut



Allah akuongoze katika Nuru ya Uislam.


Namshukuru Allah kwa Neema ya Uislam na Sunnah. Namuomba Allah anifishe katika Uislam na Sunnah. Aamiin.
 
They are happy in Saudia
They are happy in Malyasia
They are happy in Brunei Darusalaam
They are happy in Indonesia
They are happy in Qatar
They are happy in Bahrain
They are happy in Oman
They are happy in UAE
They are Happy in Kuwait etc.


They were happy in Iraq Kabla ya wester democracy

They were happy in Afghanistan kabla ya both West na Soviet

They were happy in India na Indian sub continent kwa ujumla kabla ya West involvement

They were happy in Syria, Lebanon na Palestina (Levant) kabla ya kuja Israel na sera za wests.


Middle East ndio sehemu pekee utakuta ancient religion ukienda Lebanon, Palestine, Syria etc ndio utakuta alawite, Druze, madhehebu ya zamani ya kikristo kama Maronite, Coptic, waisilamu wa Sunni, Shia, na hata madhehebu ya zamani ya jews kama Samaritan.


Why haya madhehebu yapo hapo na sio Ulaya, Africa, South America ama kwengineko?

Jibu rahisi Ulaya wamewaua wote, ili kuhakikisha version yao ya ukristo ndio inatamalaki Duniani, sehemu zote ambapo kulikua na protection ya Uisilamu mpaka leo madhehebu na dini za zamani zipo.

In short upo safe nchi za kiisilamu kuliko Hizo nyengine kama hufuati matakwa ya west.
 
Nadhani hujamuelewa mleta thread, Ye anamaanisha migogoro kati ya waislamu na dini/ madhehebu mengine sio vita kati ya nchi na nchi .Mfano vita au mgogoro kati ya Russia na Ukraine sio kati ya wakristu vs wakristu bali upanuzi wa kimaeneo na rasilimali the same applies to Congo Drc
 
Na waarabu watakuja kufuta kila kitu cha kiafrika.
Afrika itarudi kwenye utumwa wa waarabu kw kupitia dini ya uislamu.
Washajaza Afrika Kaskazini yote,wameshtuka mpaka pembe ya Afrika na pwani ya Afrika mashariki. Wazenji wote wameshapoteza tamaduni zao, wameshakiwa watumwa wa waarabu.
Wanapigana huko west Afrika, watatoboa labda.
Ujinga wa waafrika utapoteza bara Zima la Afrika huko mbeleni.
 
Napenda sana uchangiaji wako unaotokana na nukuu. Kaka wewe ni msomi unaejua kujadili. Hongera
 

Je unabishana na quran iliyokataza msiwe na urafiki na wayahudi na wakristo ?
 

Shida ya uislam ni moja, hawajui unapoishia uhuru wako ndipo unapoanzia uhuru wa wengine. Wenyewe hawajui kutenganisha uhuru au haki za kiraia na masuala au haki za kidini. Sasa utakuta kwenye secular state kama yetu ambayo tumepewa uhuru au haki ya kiraia ya kuabudu bila bugudha, kwa waislam watataka na haki ya dini yao na vipengele vyao ambavyo si vya haki za kiraia bali ni vya haki ya kidini viingizwe kwenye haki za kiraia. Mfano, kuna kipindi wakataka kuwe na mahakama ya kadhi. Sasa ukiangalia kwenye law families of the world 🌎 hiyo itakuwa kwenye familia ipi? Sisi tumerithi Common Law, sasa tukiwa na mahakama ya kadhi itaendajee. Usimamizi wake utakuwaje? Maana mahakama ya kadhi inapatikana kwenye Islamic law. Kwenye mfumo tulionao wa sheria itakuwa ngumu sana

CC: Detective J
 
They are very selfish. Angalia walivyoshinikiza watoto wa kike kuvaa hijabu mashuleni wakati nchi sio ya kidini, All time wanajiona ndo wako sahihi kuliko watu wa dini nyingine
 

Mkuu turushie aya, nasi tujielimishe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…