Why Burry Mwangosi So Hurriedly?

Why Burry Mwangosi So Hurriedly?

Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa siku ya tarehe 2 asubuhi alitangaza kuwa iwapo CDM hawataheshimu amri ya polisi atawashughulikia ipasavyo na akasisitiza kuwa this time atadeal na viongozi na hatashughulika na wananchi waliohudhuria mikutano.

MwanaJF mmoja akatoa taarifa kwa mkopo (in advance) kuwa "polisi wamedhamiria kuua".

Dr. Slaa baada ya kusikia hayo "alichelewa" kufika kwenye mikutano ya ufunguzi wa matawi.

Hata hivyo, ilipofika wakati wa mazishi Dr. Slaa aliambiwa kuwa CDM haikaribishwi kama chama ila mtu anayetaka ahudhurie kama mwananchi wa kawaida. Slaa alikakamua misuli yote ya shingo mpaka a¨pate fursa ya kushika mike msibani - akafanikiwa.

Bottomline: Slaa ni msanii wa kisiasa...

Umeona wapi mwanasiasa ambaye si msanii? Aliandika Marehemu Shabaan Robert....."Siasa ni Propaganda" m
 
I for one would like to know what kind of a bomb was used. It raises eyebrows when reports say it's a teargas bomb. I doubt a teargas bomb is designed to have so much explosive power to completely dismember human body. Teargas bombs are based on aerosol principle just like a spray can in our homes

And you use a gun every time you spray a spay can at home? To kill a mosquito?

The guy had to be buried in a haste as there was no need to keep his body un-buried for long.
 
forensick test lazima wafanyie mwili wote?
umejuaje kama hawakuchukua sample?]


Once again I feel the urge to raise this issue considering the fact that it's not the first time we have seen such a gruesome act. Concealing the truth guarantees impunity for those at the top at the expense of the junior cops. And that is not fair

I wonder to myself why the body of journalist Mwangosi was so hurriedly burried. And the worst part of it Prof Mwandosya and Dr. Slaa attended the burial. These two intelectuals were definitely not in touch with their senses at the time.Wait a minute, who knows? perhaps they consciously did take part in aiding and abetting the cover up of this horrendous crime! Simply because as more people get murdered the more our hatred toward the government is increased which in turn means CCM loses support

Actually, I was expecting them to distance themselves from what I see as a move to keep the truth secret. Or rather they were supposed to prevent the burial until thorough forensic tests have been performed

I for one would like to know what kind of a bomb was used. It raises eyebrows when reports say it's a teargas bomb. I doubt a teargas bomb is designed to have so much explosive power to completely dismember human body. Teargas bombs are based on aerosol principle just like a spray can in our homes
 
Re: Why Burry Mwangosi So Hurriedly?

Du kama mmegundua huyu jamaa ni michosho maana kanipotezea muda kuingia katika Kamusi ya Kiingereza (Concise Oxford English Dictionary - Eleventh Edition) hata Dictionary ya Computer katika Window XP kutafuta maneno
Burry, Hurriedly? hakuna maneneo hayo kabisaaa labda kwa kilugha....
Acheni kumwonea Azipa. Mbona anaeleweka tu......na kwa kweli 'kibongobongo' kiingerezachake ni kizuri tu!...spelling mistakes za hapa na pale lakini tumemwelewa. Btw, "hurriedly" na "bury" (na hata "burry"!) ni maneno ya kiingereza.

:focus:
 
Acheni kumwonea Azipa. Mbona anaeleweka tu......na kwa kweli 'kibongobongo' kiingerezachake ni kizuri tu!...spelling mistakes za hapa na pale lakini tumemwelewa. Btw, "hurriedly" na "bury" (na hata "burry"!) ni maneno ya kiingereza.

:focus:

Eti nini? ''Burry [sic] hurriedly'' inaeleweka vizuri kwa kiingereza cha kibongobongo? Aliyekuambia kuna kiingereza cha kibongobongo na kiingereza cha kimarekanimarekani nani?
 
Eti nini? ''Burry [sic] hurriedly'' inaeleweka vizuri kwa kiingereza cha kibongobongo? Aliyekuambia kuna kiingereza cha kibongobongo na kiingereza cha kimarekanimarekani nani?
Si umeona walioelewa wamechangia hapo juu na nyie mnaojua kiingereza vizuri ndio mmebaki manahangaika?
 
Si umeona walioelewa wamechangia hapo juu na nyie mnaojua kiingereza vizuri ndio mmebaki manahangaika?

Effectively, mtu yeyote anayechangia post iliyoandikwa kwa lugha mbovu na yeye ni kilaza tu. Aidha wanachangia kitu wasichokielewa au wanaelewa kitu wasichochangia. Unapochangia post yenye title ''why was someone buried hurriedly'' wakati ilitakiwa kuwa ''why was someone's burial rushed'' unaonekana ni kituko tu na hujui unachokifanya.
 
Mwangosi ameshapumzika kwa amani kelele zote hizi ni fujo, na kuendelea kuudhalilisha mwili wa marehemu ilihali walioutenda uovu tupo nao mitaani... may the soul of the late Mwangosi rest in erternal peace...
 
Effectively, mtu yeyote anayechangia post iliyoandikwa kwa lugha mbovu na yeye ni kilaza tu. ....
Si kwamba ni "kichwa" mpaka ameweza ku-decode ujumbe uliokusudiwa na aliyeleta post pamoja na kuwa umeletwa kwa "lugha mbovu"?

Anyway, umesomeka...tusiharibu mjadala.
 
Si kwamba ni "kichwa" mpaka ameweza ku-decode ujumbe uliokusudiwa na aliyeleta post pamoja na kuwa umeletwa kwa "lugha mbovu"?

Anyway, umesomeka...tusiharibu mjadala.

Anakuaje kichwa wakati hajui hata kuwa kilichoandikwa kimekosewa.
 
Tuache kuwa paranoid! Mtu utumbo ulishatoka na ukawa contaminated na external agent wangeuchelewesha ulishaanza kuharibika! Ukumbuke ulipigwa bomu so viungo vyake vimekatikakatika!
 
[h=2]Re: Why Burry Mwangosi So Hurriedly?[/h]maneneo

Like I said spellings....we all make mistakes even the British and Americans. There's nothing wrong with the word hurriedly though
 
I guess mwili uliharibika sana so kuuzika mapema was the immediate solution
 
Once again I feel the urge to raise this issue considering the fact that it's not the first time we have seen such a gruesome act. Concealing the truth guarantees impunity for those at the top at the expense of the junior corps. And that is not fair

I wonder to myself why the body of journalist Mwangosi was so hurriedly buried. And the worst part of it Prof Mwandosya and Dr. Slaa attended the burial. These two intellectuals were definitely not in touch with their senses at the time. Wait a minute, who knows? Perhaps they consciously did take part in aiding and abetting the cover up of this horrendous crime! Simply because as more people get murdered the more our hatred toward the government is increased which in turn means CCM loses support

Actually, I was expecting them to distance themselves from what I see as a move to keep the truth secret. Or rather they were supposed to prevent the burial until thorough forensic tests have been performed

I for one would like to know what kind of a bomb was used. It raises eyebrows when reports say it's a tear gas bomb. I doubt a teargas bomb is designed to have so much explosive power to completely dismember human body. Tear gas bombs are based on aerosol principle just like a spray can in our homes

heheheheheheh
 
Once again I feel the urge to raise this issue considering the fact that it's not the first time we have seen such a gruesome act. Concealing the truth guarantees impunity for those at the top at the expense of the junior cops. And that is not fair

I wonder to myself why the body of journalist Mwangosi was so hurriedly burried. And the worst part of it Prof Mwandosya and Dr. Slaa attended the burial. These two intelectuals were definitely not in touch with their senses at the time.Wait a minute, who knows? perhaps they consciously did take part in aiding and abetting the cover up of this horrendous crime! Simply because as more people get murdered the more our hatred toward the government is increased which in turn means CCM loses support

Actually, I was expecting them to distance themselves from what I see as a move to keep the truth secret. Or rather they were supposed to prevent the burial until thorough forensic tests have been performed

I for one would like to know what kind of a bomb was used. It raises eyebrows when reports say it's a teargas bomb. I doubt a teargas bomb is designed to have so much explosive power to completely dismember human body. Teargas bombs are based on aerosol principle just like a spray can in our homes

Looks like you have taken leave not only of your faculties but your human attributes too!! hebu fikiria upya kuhusu hiki unacholalamikia hapa kisha upost mawazo yako tena! you do not have to comment on everything buddy!
 
Looks like you have taken leave not only of your faculties but your human attributes too!! hebu fikiria upya kuhusu hiki unacholalamikia hapa kisha upost mawazo yako tena! you do not have to comment on everything buddy!

Follow this link then you can always get back to me
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/321439-bomu-la-kivita-lililomwua-daud.html#post4603217
 
Muwe mnaandika kiswahili tu kinatosha kabisa. Mambo ya 'protest the burial,' 'not the fast time' ni kutiana kichefuchefu tu.

Alijua ttatizo hili ndo maana Rais kafungua chuo kikuu cha kijeshi, Unakaribishwa sana!
 
Acheni kumwonea Azipa. Mbona anaeleweka tu......na kwa kweli 'kibongobongo' kiingerezachake ni kizuri tu!...spelling mistakes za hapa na pale lakini tumemwelewa. Btw, "hurriedly" na "bury" (na hata "burry"!) ni maneno ya kiingereza.

:focus:

Naiona raha ya kuwa na Prezda mtaalamu wa kuusoma upepo, najua shule za kata fyongo, sasa anahamia kwenye vyuo. Twendeni jamani labda tutaepukana na fedheha hii ya kuchoma spelling na tenses!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
You say, "Teargas bombs are based on aerosol principle just like a spray can in our homes" Je una uhakika mtutu wa bomu la machozi ukiwekwa sm moja toka tumboni kwako na kulipuliwa ni sawa na kubonyeza kidude cha X-pell au Dumu sm moja toka tumboni. You better revisit your knowledge on the so called principles employed in manufacturing versus the impact of manufactured devices / finished product!! Otherwise, come and take back my force number !!!
 
Back
Top Bottom