MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,848
Jamani kwanini wanaume wakiafrika or let me put this way black men (blekiiiiiiiii men) wanamatatizo fulani mbona mimi naona idadi nyingi tu wenye vihela kidogo au majina yao kishapanda chati magezetini for whatever position they are wanatabia ya kutafuta wadada wazungu au kitu nyeupe. Mbona sisi hatumind kuwa nao hata tukiwa zaidi ya akina Asha Magiro. Na hili silioni kwa wazungu wenye nyadhira za juu kuchukua wanawake weusi, most wanakuwa blue collar.
Is this a prestige for blekimen or what? Maana nina list ndefu tu na hapa TZ ni wengi tu....kama unawajua endeleza.
1-Koffi la Nani
2-Tiger Woods
3-Remy Ongala
3-Seal
4-Obama Sr
5-Michael Jordan
6-Dr Dre
Is this a prestige for blekimen or what? Maana nina list ndefu tu na hapa TZ ni wengi tu....kama unawajua endeleza.
1-Koffi la Nani
2-Tiger Woods
3-Remy Ongala
3-Seal
4-Obama Sr
5-Michael Jordan
6-Dr Dre