Why are you still Single?

Labda tungejiuliza swali la msingi "usingle ni nini?" maaana inaonekana kutokuoa au kuolewa ndo usingle lakini je, ni kweli? kwani kuwa single au married kuna raha au tabu gani? je, ni kweli walio na ndoa wana furaha kuliko masingle? tatizo pia ni kwamba masingle wengi wanadhani hawana raha wala hawatakamilika hadi wawe married lakini wakishakuwa married wanajikuta ile furaha waliofikiria haipo! la muhimu ni kufikiria zaidi maana kuoa na kuolewa ni mazoea zaidi tangu enzi na enzi kwa upande huo ndio uhalisia wake lakini jambo lenyewe haliko kama lilivozoeleka. lina nyuso nyingi na maswali mengi.
 

be badass utaenjoy sana
 
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife.

Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??

Without us the word single is dead.
 
Niko single kwa sababu nina watoto 6(kila mtoto na mamake) sasa kila nikipata mwanamke anakataa kwamba hataki kuwa housegirl ndo hivyo bandugu.
 
Im single...bcoz im single n happy this way...aww sitaishi hivi milele but im single bcoz i feel safe ,secured n direct connected to God.
Im single becoz i was emotionally&pyschologically broken into pieces in the past.

Im single bcoz im living around with 'single crews..n sugu bachelors in town🙂

im single bcoz i was brought up to be independent..(that affected me in two ways..)

im single bcoz my mami is single..
:x
 
point ya msingi ni hii if ua not happy with yourself then never will u be wit sam 1 else..
 
ilikuwa first love hiyo..nilikuwa mjinga na macho yalifumba saahivi wala..nipo kamili.
ndugu tofauti ni hii ukimpenda msichana nae akakukubalia inakua kama uko heaven on earth i feel u brother..i also love my mum endlessly more than ever bt never will i trust a woman other than her..
 

Hahahahahaahahaaaa! Lara umenifurahisha sana, maana hata mm nilikuwa nataka kuuliza, je ambao si proffesional ,na tuna mishahara midogo tutaweza? Loh maisha ni kama vidole vya mikono tumeofautiana sana.
 
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife.

Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??

It's bacause they are single, otherwise they would have no longer been termed as "singles". Kuna mwalimu mmoja wa somo la siasa la enzi hizo alikuwa anapenda kutamka haya maneno AFRICANS ARE POOR BECAUSE WE ARE POOR!
 
coz wanawake wa leo wengi wapo afta something!!!!!!!!!!!!!!!! and us men 2nawaxomea raman 2!:rockon:
 
bora umefafanua.
Sasa hapo amefafanuwa nini!?

Wabongo wengi wanafikiri Single = bachelor/ bachelorette (mtu ambaye hajaoa/kuolewa).

Single is not a marital status. If you are not married and have a boyfriend/ girlfriend you are not single.
If is not a single, you mean is a widow? if you fill some form in that status were you will tick you're status, Marriage? Single? separate? Widow? or complicated?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…