Why Are You Single?

upo my dear Purple.
Ngoja nikwambie kama ulishaumizwa kwenye penzi basi wala usikate tamaa this world is full of people and alternatives and everything has a solution so what you are supposed to do is to tll your heart that the previous relationship was not meant for you.

but possibly the coming one is meant for you. just relax, forget about the past be you and never sit as if you are waiting for the van but rather as someone who walks expecting to catch the van on the way.

afadhali nimegain kitu hapa, lakini naanzaje kumtrust mtu tena? hapo ndo mtihani ambao nafail kila siku kwa kweli..
 
Last edited by a moderator:
'''''ooo rabbi usinipe mapenziiii, na wapendwa oooo hakunaaaa"""


Boflo, ni wimbo tuu huo....
 
afadhali nimegain kitu hapa, lakini naanzaje kumtrust mtu tena? hapo ndo mtihani ambao nafail kila siku kwa kweli..

ukiingia kwenye mapenzi, ingia mzima mzima bila kuangalia nyuma.... mambo ya kukumbuka ulivyoumizwa before yatazidi kukutesa na kukutisha tu
 
afadhali nimegain kitu hapa, lakini naanzaje kumtrust mtu tena? hapo ndo mtihani ambao nafail kila siku kwa kweli..

my dear Purple trusting some one is not something easy but you need to trust yourself hoping that umpendaye does the same to you.
 
Last edited by a moderator:
3 inahusika, life partner suppossed to be like my mother...

So I have to wait as 5 nayo inahusika kwa kipind hiki until no 3 ikiwa solved
 
Ngoja nikupe kalike kamoja Boflo leo naona mada yako inahusika ila kwangu pamoja na usingo wangu bado hata moja kati ya hizo kumi hakuna ninayofiti.Kwa ufupi tu mimi nimeamua kuwa singo ili niweze kubana matumizi na kumalizia kibanda changu kule Kinyerezi na kwa kuwa kipo katika hatua za mwisho naona usingo utaendelea kwa muda kidogo maana nimeanza kulipia shamba Mapinga...
 
Last edited by a moderator:
Is it coz...
1) You won't get over your ex.
2.) You're Scared Of Commitment & Heart Break.
3.) Because you want what you cant have.
4.) You flirt too much.
5.) You don't act like you're ready for a relationship.
6.) You can't trust anyone any more cause you've been hurt so many times before.
7.) You know how to get a good man but don't know how to keep them.
8.) You want both the benefits of relationship and the freedom of single life.
9) You are still experimenting.
10) You're gay and society won't approve of your queer relationship.
---------------------------
CHOOSE ONE!
11) Other/none of the above..
 
Is it coz...
1) You won't get over your ex.
2.) You're Scared Of Commitment & Heart Break.
3.) Because you want what you cant have.
4.) You flirt too much.
5.) You don't act like you're ready for a relationship.
6.) You can't trust anyone any more cause you've been hurt so many times before.
7.) You know how to get a good man but don't know how to keep them.
8.) You want both the benefits of relationship and the freedom of single life.
9) You are still experimenting.
10) You're gay and society won't approve of your queer relationship.
---------------------------
CHOOSE ONE!

siwezi kumuamini mtu tena sababu nishaumizwa kwa sanaaaa!!!
 
Ngoja nikupe kalike kamoja Boflo leo naona mada yako inahusika ila kwangu pamoja na usingo wangu bado hata moja kati ya hizo kumi hakuna ninayofiti.Kwa ufupi tu mimi nimeamua kuwa singo ili niweze kubana matumizi na kumalizia kibanda changu kule Kinyerezi na kwa kuwa kipo katika hatua za mwisho naona usingo utaendelea kwa muda kidogo maana nimeanza kulipia shamba Mapinga...

2.) You're Scared Of Commitment
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom