African Americans vs. Africans. Big difference. This does not apply to the average Tanzanian man or woman.Mmmmh pole sana mkuu..dunia inabadilika jitahidi uende nayo sambamba..
Huyu anaongelea black americans zaidi maana wana midomo 🙂
Nimekosea ama?mbona unaguna?Mmmmhhh ok!!
ni video...khaaa ipo corupted or mbona sion posti
Nimekosea ama?mbona unaguna?
Kama unafikiria vingenevyo pia unaweza kusema!Si lazima ukubaliane na mimi!!:A S wink:Umesisitizia!!!
Hamna tofauti sana.. Hasa wa mjini kama hapo dar salama.. Wengi ni siku hizi na argumentative..yaani wana ule ubishi wa kubisha hata mambo ya msingi(ikichangia na elimu fake ya kuokota kwenye mitandao nk), wengi sasa hivi wanaaminishwa kumuheshimu na ku aknowladge nafasi ya mwanaume ni ujinga, wengi hawataki uafrica kutwa wanaangaika na nywele bandia na kubadilisha ngozi, ila kwenye video video anaongelea ubishi na ujuaji tu unaofanywa siku hizi na ule ubishi na ujuaji wanauta ni strong black woman...African Americans vs. Africans. Big difference. This does not apply to the average Tanzanian man or woman.