Why are black women so argumentative? Melisa Ortiz anasema kweli?

Why are black women so argumentative? Melisa Ortiz anasema kweli?

black american ni zaidi aisee wanamidomo na matusi sijapata ona na hawakubali kushindwa

wamezidi sana na sio kwa wanaume tu hata kwa wanawake wenzao wanapenda drama...na wamekaa kishari shari mno..mimi napanda metro yaani kila wiki lazima kuwepo na drama kwenye basi...ni kama wanatembea na hasira hivi...but they call them selves strong black woman..!!!
 
hawa watu wana matusi bana acha maana mpaka watwangwane ngumi na kungofoana nywele bandia teh...kuna movie niliiona inatwa why did i get married?kuna mwanamke ni mgomvi acha masikhara yaani yupo so insecure,anabwatuka 24/7 sasa wa dizaini hio sijui mtu unaishi nae vipi asee?Maana alienda kubwatuka mpaka kwenye live tv mumewe anapofanya kazi khaaa....

Na hiyo ni movie tu...lkn ninajaribu kufanya kauchunguzi flani naona ni kweli ndivyo walivyo....hawana kitu kitu kidogo....kila kitu kinageuka kuwa big deal kwao
 
...ila kuna wanawake wa Kibongo wastaarabu jamani, anapojua amekukosea tena kwa jambo dogo sana kwa mfano amechelewa kwenye miadi kwa dakika chache tu yaani hawaoni tatizo kusema samahani nimechelewa. Yaani hawa watu wana ustaarabu wa hali juu hadi raha kwao wao wanapojua wamekosea hawaoni tatizo kuomba samahani. Saa nyingine inabidi useme huna haja ya kuomba samahani kwa mambo madogo madogo kama haya. Hawa hufaa sana kuwa wife material, lakini hawapatikani kirahisi.
...Ni kweli mkuu kuna wanawake wanajitambua mno..mno sema ndo hivyo mkuu kkuwalenga inakua tabu mno
 
Ukiwa na wifi wa hivi mwambie Brother asepe haraka sana, wa hivi ni bomu ambalo linaweza kulipuka wakati wowote. Mwanamke asiye na staha cheza mbali naye kabisa.

hawa watu wana matusi bana acha maana mpaka watwangwane ngumi na kungofoana nywele bandia teh...kuna movie niliiona inatwa why did i get married?kuna mwanamke ni mgomvi acha masikhara yaani yupo so insecure,anabwatuka 24/7 sasa wa dizaini hio sijui mtu unaishi nae vipi asee?Maana alienda kubwatuka mpaka kwenye live tv mumewe anapofanya kazi khaaa....
 
I gotta go with Pac....

Only because he was so intelligent and he managed to blend social consciousness and entertainment so well.

'Brenda's got a baby' and 'Part time mutha' are some of my favorite Pac tracks.

Who's yours?

Biggie of course...
nimeona huo mstari 'sterro type of black man misunderstood but its all good,
nikamkumbuka....napenda alivyoweza zungumza his life na mtumwingine aka relate...

'super nintendo sega genesis,when i was dead broke man i couldn't figure this,... funny yet ina substance
 
Back
Top Bottom