Who wounded you???

Ulizaliwa na miaka 18??


emotional maturity unazaliwa nayo??
Au nayo ni mchakato wa kukua??

Na kabla hujakua kihisia hautaumizwa na hivyo vidogo?

 
maumivu yote sio ya mapenzi tu
 

Leo hii wewe ni nani kwao mkuu? Ninaamini hawakukatai tena, tena kila dakika wanakutaja maana ndiye mkombozi wao!!
 

Nina mashaka ww si Binaadam...Binaadam hawezi kuwa na moyo wa jabali kama wako
Msikilize hapo Michael Bolton "Im not made of steel"
 
Last edited by a moderator:
Nina mashaka ww si Binaadam...Binaadam hawezi kuwa na moyo wa jabali kama wako
Msikilize hapo Michael Bolton "Im not made of steel"

enh mwaya moyo umeumbwa na nyama rafiki yangu!sio jiwe wala chuma kwa kweli.napenda nyimbo za huyu jamaa mpka basi hasa ile sauti bana!chezeya huskyy voice wewe!
 
Last edited by a moderator:

Mpende sana mumeo, mpe heshima na mapenzi ambayo ni ya kiwango. Big up Mr. wa Ennie!!! The tru man!!! Hawa mama wa Kambo kweli jehanamu inasubiri wengi.
 
My sister ( aunt doughter) alinifanya kitu kibaya sana hata nikiongea nae najisikia vibaya,, alinikosanisha na love of my life as alinipanga maneno ya uongo nikamuumiza sana dada wa watu japokuwa ameolewa lakini mpaka leo ananichukia mpaka basi ( as mambo mengi sana mabaya yalimtokea maishan na yalisababishwa na mimi) halafu sasa wanawake walivyokuwa wa ajabu huyo sister nae akaanza kunilaumu mimi wakat anajua the vitu alivyokuwa anafanya those day,, the same way as my college sweethert hates me na mimi namchukia my sister mara 5 yake ya navyochukiwa na my x
 

um with you bhikola, yaan that z t,, huwezi kuumizwa paka umeamua mwenyewe kujiumiza, tofauti tu the way we face situations, mimi katika maisha yangu sipendi sana moyo wangu uumie sababu ya binadam, yes kuna matatizo kama kufiwa u cant avoid the pain, ila matatizo ya kusemwa sijui, kuachwa na mengine ya namna iyo mengi sana tunajiumiza wenyewe...just imagine unakinyongo na mtu hutaki kumsamehe unajua unajiumiza wewe tena gals let me tel u this,,holding things in ur heart destroys your inner serenity which is so baaad....so try to avoid ctuations ambazo zitafanya ujiumize...dis are few ways to do so..1. try nat to think about it owky u might think abt it kidogo bt DONT give t too much attention yaan unawazaa mpaka mind yote inaama as si mnajua ower of mind. 2.try o taak the words in other way round yan da oposite of t..positive way hapa labda mtu amekuinsult au maneno mengine mabaya so wewe yaweke yale maneno in a positive way and just smile...most important z to have mind control...have a mind control pipo sio kila kitu unachokisikia unakiweka kichwani achana na ambazo unaskia subcounsously...sababu unaumia zaidi unapozidi kuwaza na kukifikilia.. trust me hata uumizwaje when u have a mind control hakuna kitu kitakuumiza, utaishi maisha ya furaha kila siku and u wil see ur self blessed anad luck. Guys we shuld alwaz forgive for our own sake..
 

Pole , Mh kwani alikufanya nini mpaka usimsamehe?
 
........
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…