bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
- Thread starter
- #41
Kwani na Mseven alikuwa hajamaliza muda wake mbona aligombea tena, mambo ya siasa ni magumu na wala usiusemee moyo wa mwenzioKagame anamalizia muhula wake wa mwisho.Na amesema hagombei tena kama katiba isivyoruhusu.Mbona tunapenda stori za kuungaunga?