Who voted for Trump?

Who voted for Trump?

To answer your Q.
Its the American people who elected the electrol college delegates who in turn elected the presidaz
 
What? Are you sure you are making any sense? Wanaolalamika ni hawa 60 mill. wa Hillary ndiyo maana inaonekana kuwa malalamiko ni mengi sana.

Kama isingekuwa Electoral College nani leo angekuwa rais?
Wanaolalamika ni Main stream media na wajinga flan hata kura hawakupiga. Hillary halalamiki, Obama halalamiki! Na hizo Electoral votes si kwamba zimeanza kutumika leo. Ni system wanayotumia miaka mingi hivyo ukilalamiaka ni upumbavu. Hawa watoto wanajipanga barabarani na kuharibu mali za watu pasipo sababu. Wakati wazazi wao wanaenda kupiga kura wao walikuwa wanacheza video game matokeo yametoka eti wanaandamana.
 
Sasa kura hamkupiga halafu mnastaajab???mrudi tu Africa mje muendeleze uzinzi na umbea
 
Kura kapigiwa na watu waliokuwa kimya kabisa kabla ya uchaguzi na hata baada ya uchaguzi wameendelea kubaki kimya...
Sasa waliokuwa wakichonga walijiona ni wengi sana na wakafikiri kila mtu hamtaki jamaa ila kumbe... wenye akili zao walikuwa wametulia wakiingoja siku, siku ikafika wakajitokeza kutumbukiza turufu zao kisha kimyaaa..
 
waache kulalamika wasubiri miaka minne ikipita waoneshe hasira zao kwenye kupiga kura alaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom