WHO: Soda, nyama na pipi vyanzo vikuu vya saratani

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,666
WHO: Soda na pipi zinaviambata vinavyosababisha kansa, hapa wanapigania na DK mpango aliyesema ni kutumia madawa ya kutunzia maiti.

Report ya shirika la afya duniani limetaja sababu kuu za kupata kansa ni kula nyama nyekundu, kunywa soda, kumung'unya pipi, na kazi za usiku mara kwa Mara

USSR
Screenshot_20230714-102046.png
 
Na vipi kuhusu SACCHARIN SODIUM !!?? Maana ni kama ASPARTAME !! Na inatumika muda mrefu sana tuu !!! (While early studies in the 1970s suggested that Saccharin Sodium may cause cancer in rats, subsequent research has produced mixed results). Wale wa SODA ZERO and the likes BE CAREFUL !!!
 
Na vipi kuhusu SACCHARIN SODIUM !!?? Maana ni kama ASPARTAME !! Na inatumika muda mrefu sana tuu !!! (While early studies in the 1970s suggested that Saccharin Sodium may cause cancer in rats, subsequent research has produced mixed results). Wale wa SODA ZERO and the likes BE CAREFUL !!!
Sawa WHO

Joke
 
WHO: Soda na pipi zinaviambata vinavyosababisha kansa, hapa wanapigania na DK mpango aliyesema ni kutumia madawa ya kutunzia maiti.

Report ya shirika la afya duniani limetaja sababu kuu za kupata kansa ni kula nyama nyekundu, kunywa soda, kumung'unya pipi, na kazi za usiku mara kwa Mara

USSR
View attachment 2687513
Hiyo ya nyama nyekundu iangaliwe upya na tafiti za kina zifanyike
 
Back
Top Bottom