Mmiliki mwingine kwa sasa ni BP yenyewe kupitia Africa arm. Ingawa kwa wale waliobahatika kusoma press release ya FCC (fair competition commission), BP wameuza kwa Puma Energy (subsidiary of Trifigura).
Kuhusu kugoma,hilo swali kwa kweli ni gumu kwani maamuzi ya kuuza au kutouza yanafanywa na board members ambayo 50/50 kati ya BP na Serikali. Hilo ni moja lakini la pili ambalo ndilo ninalohisi ni sababu ya tatizo lenyewe ni kwamba,haya macampuni ya kigeni (i.e Oryx,BP,Total etc), mfumo wao wa biashara ni kwamba, kituo kinakuwa chini ya umiliki wa kampuni lakini uendeshaji anapewa dealer ambaye kazi yake ni kununua mafuta kutoka kwa kampuni yake lakini anakuwa na 100% mamlaka ya uendeshaji wa kituo, kwa lugha ya kigeni wanaita "Company owned but dealer operated" sasa kutofungua inawezekana supplier ambaye ni BP ameamua kutouza mafuta au huyu dealer ameona hatapata faida kama akinunua mafuta kwa bei ambayo atauziwa na supplier wake.
This is my view
Kama serikali ya Tz inamiliki 50% ya hisa za BP tanzania iweje kampuni hii "igome" kuuza mafuta?ina maana serikali imeamua kuhujumu watu wake?
Huyu mmiliki mwingine ni nani?ana uwezo upi wa kuzuia uuzaji wa mafuta?
imefika mahali tuisaidie kazi wizara husika na serikali kwa ujumla,inasikitisha kuona wafanyabiashara wanaiendesha serikali namna hii mara leo sukari kesho mahindi keshokutwa mafuta.huyu dealer ni nani huyu?Wameshindwa kufanya maamuzi ili kulinda nidhamu na uwajibikaji ndani ya chama, sasa wanashindwa hata kusimamia wauza mafuta? What do we need the government for? Hivi Ngeleja akibeba mikoba yake kwenda kazini kesho anaenda kufanya nini hasa kama hata kutoa kauli juu huu mgomo ameshindwa?<br />
<br />
Wakati mwingine serikali inajitakia kulaumiwa. Hivi kweli wameshindwa kutatua huu mgomo?
Wameshindwa kufanya maamuzi ili kulinda nidhamu na uwajibikaji ndani ya chama, sasa wanashindwa hata kusimamia wauza mafuta? What do we need the government for? Hivi Ngeleja akibeba mikoba yake kwenda kazini kesho anaenda kufanya nini hasa kama hata kutoa kauli juu huu mgomo ameshindwa?
Wakati mwingine serikali inajitakia kulaumiwa. Hivi kweli wameshindwa kutatua huu mgomo?
Wow! Jamani mnataka kunambia serikali yetu ina own - BP Shell? au mimi ndio sielewi mchokizungumza hapa...Au mnazungumzia BP as a Franchise maanake nijuavyo wenye vituo hununua haki miliki (franchise) kutoka BP na kuifanya biashara hiyo kitkt eneo husika kwa niaba (under licence) unakatiwa cha juu.
radio mbao zinaniambia ni 50%
Kama serikali ya Tz inamiliki 50% ya hisa za BP tanzania iweje kampuni hii "igome" kuuza mafuta?ina maana serikali imeamua kuhujumu watu wake?
Huyu mmiliki mwingine ni nani?ana uwezo upi wa kuzuia uuzaji wa mafuta?
Jamani 50% ni January Makamba and the Washikajiz,Huyu Dogo anautaka sana Uwaziri wa Nishati na Madini.Kwa hiyo atafanya bidii zote kuonyesha Weakness za Ngereja ili JK amtimue ampe yeye shavu,alianza na Umeme amempata,sasa ilibaki mafuta tu,and there he is now!!Hahaaaaa Go January,next week Yule mpangaji wa Magogoni atakuona,na ndio maana kauchuna kwa sababu anajua kinachoendelea,Husein Mwinyi kajenga shell(Lake Oil) barabarani ili jembe mzee wa barabara asibomoe,Nchi2 & Liz(Camel oil) ,Liz anamiliki malori ya kusafirisha wese,sasa kuna nini hapa.Wanajenga mazingira ya kuonesha kijana anafanya vizuri na kamati yake ya Mashati ya Majini,nashangaa mpaka leo nayeye kauchuna wakati kwenye umeme alikuwa anbonga sana huyu dogo mithili ya baba yake mzee yusuph!!!!!!!!!Swaumu kali kama nimebugi mnanicheki kwenye phone Wakuu.