festo ukulule
Member
- Nov 14, 2016
- 35
- 61
CDF ni nafasi ya kuteuliwa na Amiri jeshi mbona Kwa Mwamnyange walisema ni JKT lakini akawa CDF hata luteni general Mabeyo atakuwa CDF ,
Duuh..Kuna kazi..View attachment 436344
Huyu kwa sasa (Nov 19, 2016) ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) aliyejaza nafasi iliyoachwa wazi na Luteni Jenerali(mstaafu) Samuel Albert Ndomba.
Natamani kujua historia yake:
Yeye ni nani?
Ametokea wapi hadi kufikia nafasi aliyo nayo?
Atakuwa mrithi wa Mwamunyange?
Ni mzaliwa wa mkoa gani?
Hata kura/kula tuliombwa kwa kikabila. Kila alipopita alizungumza kikabila. Hasa ya kanda ya ziwa victoria.Hivi karne hii mnaulizana makabila kwa sababu gani? Mwalimu Nyerere alituambia nyie mnaitwa wachawi!
halikwepeki, ukabila ni rahisi sana kuzaa ukanda, isije ikawa kama chama kile cha watu wa kaskazini!Hivi karne hii mnaulizana makabila kwa sababu gani? Mwalimu Nyerere alituambia nyie mnaitwa wachawi!
Nnayemjua ni wa Magu...Mmmh! Really? From magharibi (Bariadi) kaskazini (chatox2 Geita) au kusini kahamax2??
Umeanza kuropoka mahaba yakizidi nayo huleta shida!!CDF ni nafasi ya kuteuliwa na Amiri jeshi mbona Kwa Mwamnyange walisema ni JKT lakini akawa CDF hata luteni general Mabeyo atakuwa CDF ,
Huyu kwa sasa (Nov 19, 2016) ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) aliyejaza nafasi iliyoachwa wazi na Luteni Jenerali(mstaafu) Samuel Albert Ndomba.
Natamani kujua historia yake:
Yeye ni nani?
Ametokea wapi hadi kufikia nafasi aliyo nayo?
Atakuwa mrithi wa Mwamunyange?
Ni mzaliwa wa mkoa gani?
Ulaya wanamuogopa Jasus kutokapart #3 tokea nipo mdogo nakumbuka kuwa taarifa za baba Nerry zilikuwa ni highly classified ukilinganisha na wazee wengne pale mjengon ambao wao tulikuwa tukiwafaham kwa sana pia nakumbuka kuna kipindi niliwah kumuliza father wangu kuwa mbna nyota za baba Nerry began zinang'aa sana tofaut na za wengne mzee akanambia nisihoj mambo ambayo hata nikielezwa sitaelewa
kama nlivosema hapo juu huyi father inasemekana alikuwa mkuu wa kitengo cha ujasusi jeshini na ndio maana kuna fununu ziliwah kuvuma kuwa kuna nchi za ulaya zilimkataa alipoteuliwa kuwa baloz katika nchi zao kwa kuhofia kuwa alikuwa ni jasusi hatar so walihisi anaeza kuwa anaenda kwa madhumuni mengne!
na imekuwa kweliCDF ni nafasi ya kuteuliwa na Amiri jeshi mbona Kwa Mwamnyange walisema ni JKT lakini akawa CDF hata luteni general Mabeyo atakuwa CDF ,
Hatuna shida na kabila lake mkuu .
mkuu unaongea kweli huyo haelewi , sie wajuvi wa mambo tulijua tu mara baada ya Meela kutolewa kuwa CMI na kupelekwa Mission darfur then Mabeyo acted as CMI Then CMI full thereafter CoS haihitaji degree ebu angalia hapa chini mambo huaje JeshiniCDF ni nafasi ya kuteuliwa na Amiri jeshi mbona Kwa Mwamnyange walisema ni JKT lakini akawa CDF hata luteni general Mabeyo atakuwa CDF ,
Eee bwana eeeee, kuumbeeeeeAlishawahi kuwa mwambata wa Jeshi ktk Ubalozi wa TZ huko Rwanda na ni muumini mzuri wa RC ila mpole na mwadilifu sana.
Anakotokea sikumbuki.
Si mchezoCDF ni nafasi ya kuteuliwa na Amiri jeshi mbona Kwa Mwamnyange walisema ni JKT lakini akawa CDF hata luteni general Mabeyo atakuwa CDF ,
nimekugongea like, rudi nyuma uchungulieHatuna shida na kabila lake mkuu .
Braza umeiba avatar ya nyanidume. Umefanya kosa kisheria. AsanteSi mchezo