Sio kila kitu kinawekwa wazi mkuu!funguka mkuu,ishu flani flani.....
Nilifungua haraka haraka nikitegemea kuona CV yake,ila ok.View attachment 436344
Huyu kwa sasa (Nov 19, 2016) ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) aliyejaza nafasi iliyoachwa wazi na Luteni Jenerali(mstaafu) Samuel Albert Ndomba.
Natamani kujua historia yake:
Yeye ni nani?
Ametokea wapi hadi kufikia nafasi aliyo nayo?
Atakuwa mrithi wa Mwamunyange?
Ni mzaliwa wa mkoa gani?
Ni nadra sana n hadi sasa haijatokea Tanzania bado mnadhimu kupanda na kuwa full General awe Mkuu wa Majeshi! Wanapandishwa Maj Gen ndio wanaruka cheo kimoja wanakuwa General na kuwa CDF!!
CDF ni nafasi ya kuteuliwa na Amiri jeshi mbona Kwa Mwamnyange walisema ni JKT lakini akawa CDF hata luteni general Mabeyo atakuwa CDF ,
Halafu muoga alikuwa njiani kuelekea kibiti akapiga U-turn ya hatari. Nikwakuwa tu si wabongo niwavumilivu yani hawa watu wepesi kama pamba.
Hivi karne hii mnaulizana makabila kwa sababu gani? Mwalimu Nyerere alituambia nyie mnaitwa wachawi!
Mtu wa dini zaidi ya BABA JESIKERMabeyo nimemfahamu tangu early 1980s. Tukicheza basketball pale majimaji. Akiwa mlinzi wa late brigadier lupembe. Mabeyo akiwa na nyota 1 tu. Highly discipline na cool sana. MTU wa dini sana. Amenyooka sana
Mbona mzee Madafa alikaimu nafasi ya ukurugenzi wa TISS baada ya Othman Rashid kuondolewa na baadae akapewa ubalozi na akapokelewa vizuri tu unataka kusema naye pia hawakujua ni jasusi ndio maana wakampokea?Huyu alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Military Intelligence kabla hajateuliwa kuwa mnadhimu.
Kwa kifupi ni jasusi mbobezi, kuna kipindi alitaka kupelekwa na JK nchi flani ya Magharibi kuwa Balozi akakataliwa baada ya kushtukiwa kuwa ni jasusi sema haikutangazwa.
ujasusi wake aliusomea israel na ubalozi amepelekwa Israel...connect dot hapoMbona mzee Madafa alikaimu nafasi ya ukurufengezi wa TISS baada ya Othman Rashid kuondolewa na baadae akapewa ubalozi na akapokelewa vizuri tu unataka kusema naye pia hawakujua ni jasusi ndio maana wakampokea?
Madafa yupo Israel? Karudie tena homework yakoujasusi wake aliusomea israel na ubalozi amepelekwa Israel...connect dot hapo
Akiingia siasa nitashangaa sana. He was not of that type ila watu hubadilika. It is almost 16 years tangu tuachane huko. He is a man of the people na kama amebadilika basi ni mfumo.Eee bwana eeeee, kuumbeeeee
Nilifungua haraka haraka nikitegemea kuona CV yake,ila ok.
Haya bwana nimekuelewa.Nilidhani ni for public consumption.Hata hivyo why it is classified is difficult to understand.Nilidhani our military strength ndiyo ingekuwa classified for obvious reasons.Tanzania ya sasa ni siasa tu,hadi kwenye vyombo vyetu maamuzi ya kisiasa yapo juu.
Ila CV yake ni classfied itoshe kusema hivyo.
Hii inawezekana sana kwa kua tz haiweki wazi taarifa za jeshi na za kitengo hata mission yoyot iliywahi kufanyika ila kuna vyama vikigo vimetulia siku mkiletewa historia zao wengi tutashangaa kwa namna tunavyowaona na mambo makubwa yanayofanya katika nchi yetu pendwa TanzaniaUlaya wanamuogopa Jasus kutoka
Hatar sana
Hyo ni kwa faida ya wale jamaa wa kitengo kwenda kusoma israel ,,,,da good idea kwa mkuuujasusi wake aliusomea israel na ubalozi amepelekwa Israel...connect dot hapo
Wameomba CV wee ukaelezea ulivyokula vitumbua kwao hahaha Tanzania!!Ni mtu poa sana,
Niliishi nae pale Upanga mtaa wa Alkhan, gholofa namba 210 toka enzi akiwa nii Luteni Kanali, alikuwa mtu social sana.
Kabla ya kumtambua kama Mnadhimu Mkuu wa Jeshi, nilimtambua kama Baba Nerry au Mjomba wake Annuary na nilipenda kwenda kuangalia TV kwao.
Alikuwa na marafiki kama akina Brig. General German Mrema ambaye alikuwa commanding officer wa Makao Makuu ya Jeshi, Brigadier General Njelekela ambaye kwa sasa ni Mwanasheria Mkuu wa JWTZi, Major General Masebo ambaye kwa sasa ni wa Jeshi, na wengine wengi kama akina Major Mwakifumbwa, Canal Nyabaiga!
Alikuja akapoteaga, nikaja kumwona tena alipokuja Upanga katika msiba wa Kanali Gadiye na hapo niliskia watu wakidai kuwa alikuwa Usalama wa Taifa kitengo cha jeshi... Hiyo ni miaka ya 1990's
Alieruka cheo kimoja ni Mabeyo ambae alikuwa Leutenant General. Major General ni mdogo kwa Leutenant General.Ni nadra sana n hadi sasa haijatokea Tanzania bado mnadhimu kupanda na kuwa full General awe Mkuu wa Majeshi! Wanapandishwa Maj Gen ndio wanaruka cheo kimoja wanakuwa General na kuwa CDF!!
Dah mkuu Marehemu Gadiye alifariki akiwa na rank ya Lt col...alikua ofisi moja na mzee wangu Col Nyabaiga na mfahamu haswa wale wadogo zake i hope Col Nsigaye na Col Mungai una wapataNi mtu poa sana,
Niliishi nae pale Upanga mtaa wa Alkhan, gholofa namba 210 toka enzi akiwa nii Luteni Kanali, alikuwa mtu social sana.
Kabla ya kumtambua kama Mnadhimu Mkuu wa Jeshi, nilimtambua kama Baba Nerry au Mjomba wake Annuary na nilipenda kwenda kuangalia TV kwao.
Alikuwa na marafiki kama akina Brig. General German Mrema ambaye alikuwa commanding officer wa Makao Makuu ya Jeshi, Brigadier General Njelekela ambaye kwa sasa ni Mwanasheria Mkuu wa JWTZi, Major General Masebo ambaye kwa sasa ni wa Jeshi, na wengine wengi kama akina Major Mwakifumbwa, Canal Nyabaiga!
Alikuja akapoteaga, nikaja kumwona tena alipokuja Upanga katika msiba wa Kanali Gadiye na hapo niliskia watu wakidai kuwa alikuwa Usalama wa Taifa kitengo cha jeshi... Hiyo ni miaka ya 1990's