Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,853
- 1,521
Kuna baadhi ya wanasayansi wengine walikuwa wajanja wajanja tu kama madalali, sasa hii law of inertia ilitusaidia nini sisi katika calculation na application yake the law state that "kila kitu huendelea kuwa katika hali ya kusimama au mwendodhahiri mpaka pale kitakapo lazimishwa na kani kutoka nje" law za kinadhalia mimi huwa siwaelewagi naonaga kama madalali tu.