Eti hajui kama Muhimbili Intern Drs wamefukuzwa, pia hajui kama Intern Drs ni members wa MAT. Ina maana hata haelewi organisation iliyokuwa chini ya wizara yake inafanya nini! be serious Dr. Mponda! take ur tyme uchungulie hapa bac.. www.mat-tz.org/members.html
Namwomba rais aniteue Kuongoza MOHSW