Who is behind this stupid method of threatening our doctors

Who is behind this stupid method of threatening our doctors

MFURUFURU

New Member
Joined
May 10, 2012
Posts
3
Reaction score
0
Kama nchi ikianza umafia juu ya watu wake hiki ni kiama.
Njia ya maridhiano ikishindikana inabidi kutumia umafia kaeni chonjo watu wote mnaotetea maovu.
 
kwa kweli hii nihali mbaya sana na inakatisha tamaa kwa wana taaluma wetu ambao wamekuwa wanadai haki yao kwa muda mrefu,vitisho,ugaidi na mambo kama haya ka ma yaliyomkuta Ulimboka ni vitendo visivyo kubalika na kamwe watanzania wazalendo wasikubali kubariki matendo haya,watu wanadai haki zao wanahatarishwa maisha yao wakati kuna watu wamekaa tu wanafanya michongo mabilioni y afedha yanaingia tu kwenye akaunti zao halafu ndiyo hao hao wanasema serikali haina fedha za kuwalipa madaktari,billioni 300 watu wanajichotea kirahisi,hazina inatoa 3.5bilions ikiwa ni 1.5bilion extra(fedha iliyochakachuliwa) katika kipindi cha siku 7 halafu bado serikali inasema haina fedha,na kudiriki kutaka kuondoa maisha ya daktari kwa kusimamia na kudai haki za wanataaluma hao,mimi kwa kweli nasema sasa hivi hata hao madaktari BINGWA wanapaswa kuanza mgomo nao,kwa tukio lililotokea daktari atakayeendelea kufanya kazi ni kama vile anaunga mkono kitendo alichofanyiwa Ulimboka,Mungu amponye kijana wa watu!
 
Upole wa watanzania (ambao mimi nauita ujinga wa nyumbu wa serengeti) ndio unatumaliza. Hili ni tukio la kulaaniwa na wananchi wote wa Tanzania bila kujali cheo, chama cha siasa au kazi. Inatakiwa serikali ione hasira za watu la sivyo kesho watarudia tena yaleyale kwa mtu mwingine ...
 
Kwa hii staili alshabab cha mtoto sababu wao huwa wanasema wakifanya shambulio kwamba wamehusika.Nimemsikia kova akisema kuwa wanafanya msako wa nguvu kuwatafta wahusika! My God this is beyond ridiculous men!
 
Watanzania msilalamike mliyataka wenyewe! Hiyo serikali mnayoilalamikia haikuingia msituni na kutwaa madaraka! Ni ninyi wenyewe kwa ushabiki wenu wa Yanga na Simba katika siasa mlipiga kura kama vipofu. Tulieni mkamuliwe vizuri hadi hapo mtakapopata mang'amuzi mwaka 2015.
 
We all know it, GoT operatives!
They did this to Kubenea,Mwakyembe.....Kolimba, Gen Kombe...
The list is long.

When it happen to poor citizens, theculprits are never found.
When it is to do with GoT official and fellow Foreign louters,
the GoT arms work perfectly.

albinos cry, invain.
Youngsters die on drug while dealer rejoice!
Swindler hide Billions abroad, the arms deny any Tanzanians
involvement; despite Interpol and other sources proof!

What are we waiting for? God is not gonna help. Uproot GoT
is the solution.
 
mfurufuru unatibu tumbo la kuendesha.... tusaidiane kuambiana dawa mbadala lol
 
Kama nchi ikianza umafia juu ya watu wake hiki ni kiama.
Njia ya maridhiano ikishindikana inabidi kutumia umafia kaeni chonjo watu wote mnaotetea maovu.

too low for them,hapo ndo wamefikia busara zao za mwisho!
 
Back
Top Bottom