Who is a responsible man

Who is a responsible man

tian

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2007
Posts
1,770
Reaction score
538
Wakaka Wa Kileo Kwa Asilimia Kubwa Sio Wawajibikaji,Mtu Hana Mikakati Ya Muda Mrefu Ya Kimaisha,Starehe Zimekuwa Miungu Yao.,Nawaomba Mbadilike Kwa Faida Ya Familia Zenu.

Note:Na Wadada Wapo Pia,Ila Hapa Naongelea Jinsia '' Me''
 
^^
Uko sahihi sana! Na mimi ni mmoja wapo. Lakini, hebu tujadili hili, kuna maana ipi ya kushikilia mikakati ya muda mrefu huku ukiwa na mwanamke ambae hana comittment
^^
 
^^
Uko sahihi sana! Na mimi ni mmoja wapo. Lakini, hebu tujadili hili, kuna maana ipi ya kushikilia mikakati ya muda mrefu huku ukiwa na mwanamke ambae hana comittment
^^

Unajua nimekutafuta hadi uvunguni mwa makochi sijakuona.... kumbe umetulia huku....
Siku njema mkuu.
 
Subiri wakaka wa Kikesho.... Ila usijaribu kukimbia kivuli chako
 
u say the truth both men n women tunapoteza mda mwing kwenye mambo ya kidunia...tunasahau day are numbered tunaendekeza mambo yasiyo na maana

wadada tunakumbuka zaid kununua nguo,simu,mapchi na urembo kwa ujumla tumesahau kuwekeza kwaa maisha ya mbeleni.wengi tunakuwa na ile misemo oooh mmi ntaoewa wa kjipanga ni manaume .tunasahau value zetu kuwa ukiwa na kimradi hta kidogo cha saloni,genge au Uwakala wa M PESA ot tigo PESA itakusaida kuanzia changamoto,kujiamni na kutokuwa tegemezi hasa kwa wanaume ambao wanatuona kama omba omba.na ukiwa na biashara hta kidogo utakuwa umeengeza heshima kwa jamii inayokuzunguka na hta kwa mpenzi wako ataujua unaangalia future zaid

wanaume nao wmekuwa ni wachezea fursa hasa za ujana wengi wangahongaji,ulevi,starehen.k wanasahau kujipanga umri unaenda kuanza famlia anaogopa naishi kwa wazazi au kapanga ila vitu vya ndani hana..
muda unafika wa kuoa hajawekeza,familia mtoto juu mambo yanakuwa mengi
kujipanga ujanani kwa future utaeposha fedheha na aibu za uzeeni za kujamishwa na watoto wadogo
 
Nimetoa macho kuona sifa za responsible man , naona chenga tuu
 
Ukiishi Na Watu Unayaona Mengi,Mtu Anasahau Kwamba ujana ni wa muda mfupi tu,Na Kuna Maisha Zaidi Ya Starehe. Bulldog Niliongea Naye Ila Naona Hatilii Maanani,
Mtu anafanya kazi tena nzuri sana ila hela kuipangia mikakati ni tabu sanaa.
Mie Naamini Kila Kijana Anandoto za kuwa na familia,Na Kama Umri Wako Ni Zaidi ya miaka 25,Unapaswa kutambua kwamba majukumu yanakinyemelea tena kwa kasi kubwa mno,
Wazazi Wa Kesho Tujitahidi Kupunguza Starehe Na Tuwekeze Kwenye Mambo Ya Msingi
 
Last edited by a moderator:
Should I give it a trial? Responsible Man may today be perceived as any man who does things responsibly ie drinking responsibly, clubing responsibly, cheating responsibly, dependent responsibly, changing ladies with pace but again responsibly, Splashing the cash responsibly, making illigal deals responsibly, smoking responsibly etc.

Any way just ignore it.
 
Ukiishi Na Watu Unayaona Mengi,Mtu Anasahau Kwamba ujana ni wa muda mfupi tu,Na Kuna Maisha Zaidi Ya Starehe. Bulldog Niliongea Naye Ila Naona Hatilii Maanani,
Mtu anafanya kazi tena nzuri sana ila hela kuipangia mikakati ni tabu sanaa.
Mie Naamini Kila Kijana Anandoto za kuwa na familia,Na Kama Umri Wako Ni Zaidi ya miaka 25,Unapaswa kutambua kwamba majukumu yanakinyemelea tena kwa kasi kubwa mno,
Wazazi Wa Kesho Tujitahidi Kupunguza Starehe Na Tuwekeze Kwenye Mambo Ya Msingi

Unaweza ukasubiri (jao ni gambling) baadae akabadilika au ukasepa uanze na maisha yako
 
Back
Top Bottom