mwachine mzee watu apumzike. tujaribu kuendeleza utamaduni wetu wa kutokuwachonoa viongozi wakuu yaani state leaders wanapomaliza muda wao,hii ndio ya Tanzania iliyojijengea tangu zamani.
thx
Anayo ardhi kubwa sana kule Kingoruhira, Morogoro. Aliipata akiwa Ikuru,hivyo aliipata kwa kutumia kofia ya jumba hilo. Ni ardhi kubwa isiyotumika ambayo wangepewa wawekezaji ikalimwa na kutatua tatizo la njaa nchini.
kwa hiyo unataka kusema nyerere alifanya makosa kutunga vitabu akiwa ikulu. Kwa sababu mpaka sasa anaendelea kulipwa kama mtunzi.
Na vitabu vingine vilitumika kwa sababu yeye alikuwa ni rais tu lakini bila cheo hicho hakuna ambaye angenunua.
come to think of it-hivi kunguni anauwezo wa kupekecha mti! Pengine Babu alimaanisha mdudu mwingine!Hata hivyo tunamuelewa anamaanisha kunguni-mtu.Mwinyi!! Mwinyi kwelikweli.mtaalamu wa kiswahili naam mwalimu wa Kiswahili.
Katoa mpya; KUNGUNI KUPEKECHA MTI.
mtoto wa mkulima nimekulia kwenye kunguni, nikasoma shule zenye kunguni.sijao kunguni kuwa ubavu wa kupekeche hata hizo kamba za kitanda achilia mbali tendegu. walitunyonya sana, tukapata maarifa ya kupambana nao.
LOL!...kuna ufisadi kweli ambao mtu hafaidiki kwa chochote....ha ha ha ha!
August umesahau habari za "Ufagio wa chuma"
Zakumi kama unajali sana hakimiliki mwingine huyu hapa mvalie njuga basi.
https://www.jamiiforums.com/educati...elational-database-design-implementation.html
Hizi forums hazijali hakimiliki.
Tukirudi kwenye mada. Mwinyi is a very shrewd politician. Anaelewa kabisa all politics is local. Alikuwa anazungumza kwenye maadhimisho ya CCM na alichotakiwa ni kutoa mafanikio ya chama chao. Hivyo katika shughuli kama hile amefanya maigizo tu.
Miezi michache iliyopita aliongea na waandishi wa habari na alisema kuwa Ujamaa ulikuwa hauwezekani na ilikuwa taabu kuupindisha ujamaa wakati Mwalimu akiwa hai.
Mwinyi hakuamini ujamaa au Azimio la Arusha. Na alishasema kuwa kila binadamu ana matakwa yake na kuwafanya binadamu kupata sawa ni kitu kisichowezekana kwa sababu binadamu ameumbwa na matamanio yake.
CCM inaboronga lakini wana expertise katika Damage Control programs. Hivyo viongozi wa juu wa CCM wanapo-control damage, watu mnawataka waseme vile mnavyotaka nyinyi. Sasa hiyo sio siasa.
Kwa kweli mzee Mwinyi na Spika Wameongea mambo yenye mantiki na tija kwa taifa hili.
huu in ukomavu wa siaisa za vyama vingi na demokrasia nchini, hongera chama tawala ccm kWA KUWEKA UWANJA mpana kwa kila mtu kuvinjari kivyake.
Mama Siti Mwinyi alikamatwa na Mrema pale Dar Airport akitokea Z'bar na madini . Kama tujuavyo Z'bar hakuna madini yoyote ana likuwa anayasafirisha nje ya nchi ili akachangamke na kuyauza. Hiyo si siri, pia kulikuwa na ufisadi mwingi tu wakati wa awamu ya pili hiyo si siri. Sasa kudai wakati wa enzi za Nyerere kulikuwa na kunguni wengi na kusahau kunguni waliokuwamo ndani ya awamu ya pili, ya tatu na ya nne ni unafiki wa hali ya juu.
Anamsifia Kikwete kafanya mazuri, sijui mazuri gani aliyoyafanya, maana katika ahadi zake wakati wa kampeni hakuna hata moja aliyoitimiza.
Sahiba: usifanye kosa kama wengine kufikiri kwamba ukosoaji wa kiongozi ni chuki binafsi, but there are facts that point to Mwinyi's household kuwa involved na biashara, mzee akiwa Ikulu.
Zakumi: Nyerere kuandika vitabu huwezi kufananisha na kufanya biashara. Naomba nikupe mfano wa Dick Cheney ambaye ana hisa katika makampuni makubwa ya mafuta na nyingine ya silaha. Hisa zake alikuwa nazo kabla hajapata umakamu rais, ilibidi azitangaze hadharani na alijiuzulu kutoka bodi ya wakurugenzi na hakuruhusiwa kuchukua dividend yoyote kwa miaka yote akiwa katika wadhifa wake. Na pamoja na yote haya bado wananchi wa Marekani walimsimamia na kumkaba koo kuhusu hisa hizi.
Kuhusu vitabu huwezi kulinganisha royalty ya vitabu na a standing and running business.
First Lady ni sehemu ya Urais huwezi kutenganisha. Anapomaliza muda wake Rais basi yeye na mke wake wana nafasi ya kufanya biashara wanayotaka, chukulia mfano wa Jimmy Carter and Bill Clinton.
Mi nakubaliana na Jasusi, it was an unfortunate statement from Mwinyi kusema masuala ya kunguni katika awamu ya kwanza na kujaribu kumsafisha JK, wakati awamu yake ili kuwa na matatizo na hata ishu ya Rada ilianzia katika awamu yake! He should be very careful because asije akajua sasa ye ndo Baba wa Taifa, hana status hiyo na hawezi kuwa nayo!
Here is what I don't understand,wakati unawateua hawa viongozi wanaapa kuwa watiifu katika kulitumikia taifa then wanapovunja uaminifu wao why is so hard for you to take the action against them ni viapo vyao wewe kama rais unafanya kazi yako kwa uadilifu then why you have to think twice,huruma!!!.wao hawakukuhurumia then respond the same way.
If Sahiba become a president the corrupt leaders will hate him but the population will love him to death.I think I won't last for four years.
SAHIBA.
Maneno murua hayo , kama pamoja na kubadilisha baraza la mawaziri mara tatu sasa na Watanzania kutoona utendaji wowote ule unaoturidhisha, basi mwenye tatizo ni huyo anayewateua hao mawaziri labda hayuko makini na anawateua watu wasio na sifa wala uwezo za kuingia kwenye baraza la mawaziri
Naam kama mawaziri wanavurunda kila kukicha na anayewateua haonyeshi kutoridhishwa kwake kwa kuvurunda kwa hao mawaziri wake, basi wa kuwajibika hapa ni Kikwete, ndiyo maana nimewahi kusema hapa jamvini kwetu kwamba ahadi alizotuahidi Watanzania wakati wa kampeni za 2005 hakuna hata moja aliyoitimiza na huu ni mwaka wa nne sasa tangu aingie madarakani.
Kwa maoni yangu kazi imemshinda na CCM inastahili kabisa kuteua mgombea mwingine wa Urais katika uchaguzi wa 2010. Hii dhana ya Rais ni lazima akae madarakani awamu mbili hata kama kuna ushahidi wa kutosha kwamba kazi imemshinda, imepitwa na wakati.
Sahiba: usifanye kosa kama wengine kufikiri kwamba ukosoaji wa kiongozi ni chuki binafsi, but there are facts that point to Mwinyi's household kuwa involved na biashara, mzee akiwa Ikulu.
Zakumi: Nyerere kuandika vitabu huwezi kufananisha na kufanya biashara. Naomba nikupe mfano wa Dick Cheney ambaye ana hisa katika makampuni makubwa ya mafuta na nyingine ya silaha. Hisa zake alikuwa nazo kabla hajapata umakamu rais, ilibidi azitangaze hadharani na alijiuzulu kutoka bodi ya wakurugenzi na hakuruhusiwa kuchukua dividend yoyote kwa miaka yote akiwa katika wadhifa wake. Na pamoja na yote haya bado wananchi wa Marekani walimsimamia na kumkaba koo kuhusu hisa hizi.
Kuhusu vitabu huwezi kulinganisha royalty ya vitabu na a standing and running business.
First Lady ni sehemu ya Urais huwezi kutenganisha. Anapomaliza muda wake Rais basi yeye na mke wake wana nafasi ya kufanya biashara wanayotaka, chukulia mfano wa Jimmy Carter and Bill Clinton.
Mi nakubaliana na Jasusi, it was an unfortunate statement from Mwinyi kusema masuala ya kunguni katika awamu ya kwanza na kujaribu kumsafisha JK, wakati awamu yake ili kuwa na matatizo na hata ishu ya Rada ilianzia katika awamu yake! He should be very careful because asije akajua sasa ye ndo Baba wa Taifa, hana status hiyo na hawezi kuwa nayo!
Pengine wangekwenda kummuliza Aboud Jumbe vipi aliiweza sera ya kubadilisha mawaziri ovyo ovyo.
Bado tunarudi kwenye dira , inaelekea Mheshimiwa Zakumi una propose kuwa kwa sasa hivi hakuna dira yoyote isipokuwa hisia za mtu au watu na wakiboronga kutokana na matatizo ya kibinadamu kunachofuata ni "Damage Control" na watu wanasonga mbele kusiko julikana?
Au kwa kweli siasa sasa hivi ni funika funika bora liende.
Lole Gwakisa:
Dira bila kuwa na expertise ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Hivyo mimi sio mshabiki wa siasa za dira. Nina sababu muhimu lakini kuzielezea kwake itabidi niumize kichwa kidogo kitu ambacho siko tayari kukifanya kwa sasa.
Tukirudi kwenye mada wanasema: All politics is local. Kwa maoni yangu sioni ubaya wa aliyosema Mwinyi kwa sababu hotuba yake aliitoa kwa hard core CCM supporters wakiwa wana-sherehekea miaka 32 ya kuanzishwa kwa chama chao.