Who are your parents to you?

mzazi ni mzazi, awe mzuri awe mbaya, awe na tabia nzuri au mbaya, akuudhi asikuudhi ni wajibu wako kumtunza.

Mara nyingine baraka hukimbia kwa tabia hzo
 
Huyo mzazi aliwafanya nini watoto wake hadi wamemtelekeza.
Usiangalie upande mmoja na kulaumu.
Kuna wazazi wanaishi na watoto wao utafikiri hawajawazaa wao.
hujambo Husn? Za weekend? Kutokana na post yako hii inaelekea utotoni kuna kitu kilikutokea,potezea tu,maisha ni mafupi tu.
 
Huyo mzazi aliwafanya nini watoto wake hadi wamemtelekeza.
Usiangalie upande mmoja na kulaumu.
Kuna wazazi wanaishi na watoto wao utafikiri hawajawazaa wao.

Husninyo, mzazi ni mzazi tu hata kama aliwahi kukukosea lazima wewe kama mtoto umsamehe kwani bila ya yeye (baba/mama) wewe usingekuwepo hapa duniani. Ni makosa kumtelekeza mzazi sababu tu aliwahi kunikosea kitu/mambo fulani. Jifunze kusamehe mzazi wako hata kama aliwahi kukukosea jambo kubwa maishani mwako. Atabaki kuwa baba/mama siku zote za maisha yako!
 

Nilichukua jukumu la kusimamisha safari yangu na kumchukua kumpeleka hospitali kwa matibabu lakini njia nzima akilia kwa kutupwa na watoto wake aliowabeba tumboni mwenyewe na kujinyima kila kitu kwa ajili yao ili wafikie malengo ya maisha.


Hongera sana kwa hili na ubarikiwe sana!
 
hujambo Husn? Za weekend? Kutokana na post yako hii inaelekea utotoni kuna kitu kilikutokea,potezea tu,maisha ni mafupi tu.

sijambo bishanga. Ni kweli na nilishapotezea. Namtafuta TF umemuona wapi?
 
Husninyo, mzazi ni mzazi tu hata kama aliwahi kukukosea lazima wewe kama mtoto umsamehe kwani bila ya yeye (baba/mama) wewe usingekuwepo hapa duniani. Ni makosa kumtelekeza mzazi sababu tu aliwahi kunikosea kitu/mambo fulani. Jifunze kusamehe mzazi wako hata kama aliwahi kukukosea jambo kubwa maishani mwako. Atabaki kuwa baba/mama siku zote za maisha yako!

umeongea vyema. Ahsante.
 
Husninyo, mzazi ni mzazi tu hata kama aliwahi kukukosea lazima wewe kama mtoto umsamehe kwani bila ya yeye (baba/mama) wewe usingekuwepo hapa duniani. Ni makosa kumtelekeza mzazi sababu tu aliwahi kunikosea kitu/mambo fulani. Jifunze kusamehe mzazi wako hata kama aliwahi kukukosea jambo kubwa maishani mwako. Atabaki kuwa baba/mama siku zote za maisha yako!
Evarm, sijakubaliana 100% na ulicho sema hapa. Kabla ya kumsamehe hakikisha mnaongea na anaomba msamaha. inategemea na kosa lenyewe ila kama alivosema Hunsy kuna watu wana roho mbaya. Mfano: mzazi mmoja ulaya alifanya party, watu walipo lewa akawaleta watoto wake sebuleni, wakawalawiti alafu wakaweka picha on a child porn site. na hapo tusamehe?
Kama ni jukumu lako kuwapenda ni jukumu lao kukupenda pia. Kama unauwezo wa kusamee bila kuombwa msamaa anza na mzazi.Na kama kwa sababu moja au nyingine mmoja wenu alishindwa kumsamee mzazi wake/mwanae basi aombe msamaha alafu ndio maisha ya kawaida yaendelee.
 
hujambo Husn? Za weekend? Kutokana na post yako hii inaelekea utotoni kuna kitu kilikutokea,potezea tu,maisha ni mafupi tu.

Bishanga unalosema nililihisi sema nikapotezea...i had the same feelings previously
 
Evarm, sijakubaliana 100% na ulicho sema hapa. Kabla ya kumsamehe hakikisha mnaongea na anaomba msamaha. inategemea na kosa lenyewe ila kama alivosema Hunsy kuna watu wana roho mbaya. Mfano: mzazi mmoja ulaya alifanya party, watu walipo lewa akawaleta watoto wake sebuleni, wakawalawiti alafu wakaweka picha on a child porn site. na hapo tusamehe?
Kama ni jukumu lako kuwapenda ni jukumu lao kukupenda pia. Kama unauwezo wa kusamee bila kuombwa msamaa anza na mzazi.Na kama kwa sababu moja au nyingine mmoja wenu alishindwa kumsamee mzazi wake/mwanae basi aombe msamaha alafu ndio maisha ya kawaida yaendelee.

kweli, russian. Hata post iliyotangulia nilisema mzazi aoneshe kukosa hata kama hatotamka mwanangu nisamehe basi matendo yake yaoneshe kujutia alichofanya.
Swala la kusema sbb ni mzazi ndio uwe kama mtumwa kwake mi napinga. Na wazazi wana haki na wajibu wa kufanya mazuri kwa watoto wao. Mfano wako umenihuzunisha sana.
 
Evarm, sijakubaliana 100% na ulicho sema hapa. Kabla ya kumsamehe hakikisha mnaongea na anaomba msamaha. inategemea na kosa lenyewe ila kama alivosema Hunsy kuna watu wana roho mbaya. Mfano: mzazi mmoja ulaya alifanya party, watu walipo lewa akawaleta watoto wake sebuleni, wakawalawiti alafu wakaweka picha on a child porn site. na hapo tusamehe?
Kama ni jukumu lako kuwapenda ni jukumu lao kukupenda pia. Kama unauwezo wa kusamee bila kuombwa msamaa anza na mzazi.Na kama kwa sababu moja au nyingine mmoja wenu alishindwa kumsamee mzazi wake/mwanae basi aombe msamaha alafu ndio maisha ya kawaida yaendelee.

RR kwa kweli case uliyoitoa hapo is hata neno la kusema nakosa. Najiuliza kama huyu bado anasifa ya kuitwa mzazi? Ila mwisho nagundua anastahili tu kuitwa mzazi

Kama ulivyosema inapaswa mzazi aombe msamaha kwa watoto kwa kile kilichotokea na ninavyoamini mimi ni kuwa matukio kama haya yatam- haunt mzazi miaka nenda rudi.....

Lakini pia (kwa matukio mengine ya kawaida) ni vema kujifunza kuweza kusamehe mzazi kabla hata hajakuomba msamaha, si kwa faida ya mzazi ila kwako binafsi

Nikupe case yangu:
Mimi nililelewa na mama pekee (labda ndiyo maana nilimuonea huruma huyu mama) na sababu ni kuwa baba alinikataa toka tumboni na alistaafu kama Luteni Kanali (hope unaelewa namaanisha nini) na ni mtu aliyekuwa na uwezo japo mimi nililala njaa na kwenda shule na nguo imetoboka na wakati wote anaponda maisha huko aliko.....

nilibeba huu uchungu na sikutaka hata kumuona ila kwa mara ya kwanza nilimuona nikiwa na miaka 25 na sikutaka hata kumsalimia lakini nilisaidiwa na mtu kusamehe hata kama hajaomba msamaha na nilichukua hatua hiyo na baada ya miaka miwili (2) baadae ndio niliweza kumsamehe na mimi mwenyewe kumpigia simu na kumwambia nimekusamehe kwa yote (maana nilijiapizia siwezi msamehe hata Mungu anivunje nyonga kunishinikiza) na mambo yako vizuri, NAJISIKIA VIZURI NA AMANI NA YEYE PIA ANAJISIKIA VEMA...

ninachotaka kusema hapa ni kuwa wakati mwingine you have to start wewe uliyekosewa na mzazi and finally it will work out vizuri kabisa.........KAMA AKIONESHA NIA NA KUOMBA MSAMAHA NI VEMA LAKINI KAMA ANAJIKAUSHA KAMA KAUZU UNAWEZA TU KUMSAMEHE KWANI KUSAMEHE NI MUHIMU KWETU NA NI TIBA KWA ANAESAMEHE PIA

Note: Kwa mawasiliano yangu na huyu kijana jioni hii ni wale tu wanaonogewa na mji na kusahau wazazi na sio kwamba mzazi anatatizo
 
its my daily routine to do something positive to my parents
sijawahi choka wala kujiuliza mara mbili...

Hongera sana ndugu yangu Aza. that is the best thing you can do in this world...kama una imani ya masuala ya dini na hasa ukiwa Mkristo basi utakumbuka ule msema "waheshimu baba na mama yako siku zako zipate kuwa nyingi duniani na kufanikiwa katika nchi akupayo Bwana Mungu wako"
 
RR kwa kweli case uliyoitoa hapo is hata neno la kusema nakosa. Najiuliza kama huyu bado anasifa ya kuitwa mzazi? Ila mwisho nagundua anastahili tu kuitwa mzazi

Kama ulivyosema inapaswa mzazi aombe msamaha kwa watoto kwa kile kilichotokea na ninavyoamini mimi ni kuwa matukio kama haya yatam- haunt mzazi miaka nenda rudi.....

Lakini pia (kwa matukio mengine ya kawaida) ni vema kujifunza kuweza kusamehe mzazi kabla hata hajakuomba msamaha, si kwa faida ya mzazi ila kwako binafsi

Nikupe case yangu:
Mimi nililelewa na mama pekee (labda ndiyo maana nilimuonea huruma huyu mama) na sababu ni kuwa baba alinikataa toka tumboni na alistaafu kama Luteni Kanali (hope unaelewa namaanisha nini) na ni mtu aliyekuwa na uwezo japo mimi nililala njaa na kwenda shule na nguo imetoboka na wakati wote anaponda maisha huko aliko.....

nilibeba huu uchungu na sikutaka hata kumuona ila kwa mara ya kwanza nilimuona nikiwa na miaka 25 na sikutaka hata kumsalimia lakini nilisaidiwa na mtu kusamehe hata kama hajaomba msamaha na nilichukua hatua hiyo na baada ya miaka miwili (2) baadae ndio niliweza kumsamehe na mimi mwenyewe kumpigia simu na kumwambia nimekusamehe kwa yote (maana nilijiapizia siwezi msamehe hata Mungu anivunje nyonga kunishinikiza) na mambo yako vizuri, NAJISIKIA VIZURI NA AMANI NA YEYE PIA ANAJISIKIA VEMA...

ninachotaka kusema hapa ni kuwa wakati mwingine you have to start wewe uliyekosewa na mzazi and finally it will work out vizuri kabisa.........KAMA AKIONESHA NIA NA KUOMBA MSAMAHA NI VEMA LAKINI KAMA ANAJIKAUSHA KAMA KAUZU UNAWEZA TU KUMSAMEHE KWANI KUSAMEHE NI MUHIMU KWETU NA NI TIBA KWA ANAESAMEHE PIA

Note: Kwa mawasiliano yangu na huyu kijana jioni hii ni wale tu wanaonogewa na mji na kusahau wazazi na sio kwamba mzazi anatatizo
Una roho nzuri sana kaka, ya kusamehe kabla hujaomba msamaha... Natamani kua kama wewe.
 
Huyo mzazi aliwafanya nini watoto wake hadi wamemtelekeza.
Usiangalie upande mmoja na kulaumu.
Kuna wazazi wanaishi na watoto wao utafikiri hawajawazaa wao.

if u are a woman siamini kuona unauliza hivi! Hata kama mama yako alikulisha mavi kumbuka yeye aliacha kukuzalia chooni akakuzalia sehemu kavu. Hili tu linahitaji shukrani. Kumbuka wazazi wengi wanatelekezwa na watoto wao,hasa sisi wa kiume kwa sababu ya wake zetu.
 
Una roho nzuri sana kaka, ya kusamehe kabla hujaomba msamaha... Natamani kua kama wewe.


Mwali i appreciate.........kimsingi nimalezi ambayo nililelewa nayo na yamenisaidia kwa asilimia kubwa

Mara nyingi nakumbuka mama yangu alikuwa ananiambia jambo moja lililonikaa sana moyoni

"Mtu kakuudhi au kakukosea yeye aliko hana habari anaponda tu raha zake wewe umekaa huku unanyongea na kujikondesha" kauli hii imenifanya niishi ile style ya "Raha jipe mwenyewe"......hahahaaa........wakati unapoumia na linalokuumiza jiulize swali moja "Je huyu anenifanya niumie na yeye anaumia kama mimi?" utajikuta unamsamehe hata kabla hajaomba msamaha

Anyway, if you need any kind of assistance kwenye kusamehe you can PM me and i can be of some help maana is one of my strongest point as a matter of fact
 
sijambo bishanga. Ni kweli na nilishapotezea. Namtafuta TF umemuona wapi?
ntakuchapa,acha uchakajuaji!
Kwa sasa nipo kampala,nimefikia sheraton,kwa mbaaaaaaali namwona TF amekaa na SL wanapata breakfast.We ulie tu ila angalia usife na kijiba cha roho.
 
ntakuchapa,acha uchakajuaji!
Kwa sasa nipo kampala,nimefikia sheraton,kwa mbaaaaaaali namwona TF amekaa na SL wanapata breakfast.We ulie tu ila angalia usife na kijiba cha roho.

sina wasi wasi na SL maana huyo ni bodyguard wangu.
Ngoja nisichakachue basi.
 
Evarm, sijakubaliana 100% na ulicho sema hapa. Kabla ya kumsamehe hakikisha mnaongea na anaomba msamaha. inategemea na kosa lenyewe ila kama alivosema Hunsy kuna watu wana roho mbaya. Mfano: mzazi mmoja ulaya alifanya party, watu walipo lewa akawaleta watoto wake sebuleni, wakawalawiti alafu wakaweka picha on a child porn site. na hapo tusamehe?
Kama ni jukumu lako kuwapenda ni jukumu lao kukupenda pia. Kama unauwezo wa kusamee bila kuombwa msamaa anza na mzazi.Na kama kwa sababu moja au nyingine mmoja wenu alishindwa kumsamee mzazi wake/mwanae basi aombe msamaha alafu ndio maisha ya kawaida yaendelee.

Bado atabaki kuwa mzazi (baba/mama) tu na unatakiwa umsamehe!
 
Back
Top Bottom