Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,492
Habari zenu ndugu zangu,
Ukweli usiopinga ni kuwa mzazi (bila kujalisha alivyo) ana sehemu kubwa na ya muhimu kwenye maisha yako katika ujumla wake. Nimelia sana leo baada ya kumuona mama mmoja leo nikitoka kanisani akilia msaada kwa kuwa anaumwa na watoto wake walipo hawana habari nae.
Nilichukua jukumu la kusimamisha safari yangu na kumchukua kumpeleka hospitali kwa matibabu lakini njia nzima akilia kwa kutupwa na watoto wake aliowabeba tumboni mwenyewe na kujinyima kila kitu kwa ajili yao ili wafikie malengo ya maisha.
Ndugu zangu, ogopa chozi la mzazi......lina weza beba baraka kwako (kama ni kwa furaha) au laana (akilia kwa huzuni)
A Call: Can you do something for your parents this coming week to make them smile? Inaweza kuwa apology kwa mahali fulani ambapo hukufanya vema au hata kizawadi kidogo cha kurudisha trust yao kwako na kuwafanya wajue yuko mtoto anaejali...........Please do something for your parents this week
Thanks
Ukweli usiopinga ni kuwa mzazi (bila kujalisha alivyo) ana sehemu kubwa na ya muhimu kwenye maisha yako katika ujumla wake. Nimelia sana leo baada ya kumuona mama mmoja leo nikitoka kanisani akilia msaada kwa kuwa anaumwa na watoto wake walipo hawana habari nae.
Nilichukua jukumu la kusimamisha safari yangu na kumchukua kumpeleka hospitali kwa matibabu lakini njia nzima akilia kwa kutupwa na watoto wake aliowabeba tumboni mwenyewe na kujinyima kila kitu kwa ajili yao ili wafikie malengo ya maisha.
Ndugu zangu, ogopa chozi la mzazi......lina weza beba baraka kwako (kama ni kwa furaha) au laana (akilia kwa huzuni)
A Call: Can you do something for your parents this coming week to make them smile? Inaweza kuwa apology kwa mahali fulani ambapo hukufanya vema au hata kizawadi kidogo cha kurudisha trust yao kwako na kuwafanya wajue yuko mtoto anaejali...........Please do something for your parents this week
Thanks