Which Tribe is the most boring?

Which Tribe is the most boring?

Status
Not open for further replies.
Joined
Mar 13, 2012
Posts
52
Reaction score
12
jamani according to me,myself and I...the most boring people ni wahaya...yaani being around wahaya is sickening....story zao za kujisifia kila wakati zinaniboa...je ww watu wa kabila gani wanakuboa sana?
 
jamani according to me,myself and I...the most boring people ni wahaya...yaani being around wahaya is sickening....story zao za kujisifia kila wakati zinaniboa...je ww watu wa kabila gani wanakuboa sana?

Acha ubaguzi wewe......ila wahaya wamezidi misifa.
 
jamani according to me,myself and I...the most boring people ni wahaya...yaani being around wahaya is sickening....story zao za kujisifia kila wakati zinaniboa...je ww watu wa kabila gani wanakuboa sana?
kwanza tueleze wewe ni kabila gani? Kama si mhaya kwanini haukuwa mhaya??? Au tuelezee ujanja uliofanya hadi ukawa/haujawa mhaya... kisha ndio tutaisoma hii sred yako ya hovyohovyo
 
wote poa tu kwani, mi huwa na judge watu kwa character zao binafsi , mtu akiwa wa kujisifia na mi ndo najisifia zaidi yake
 
kwanza tueleze wewe ni kabila gani? Kama si mhaya kwanini haukuwa mhaya??? Au tuelezee ujanja uliofanya hadi ukawa/haujawa mhaya... kisha ndio tutaisoma hii sred yako ya hovyohovyo
Umeandika madudu gani ...maswali yako hayana point kabisa ...

Na we mtoa mada usilete ubaguzi wako wa ki. Mila hapa ...
 
The more u think about WAHAYA the more u become unhappy and unable to enjoy life.. HAYA is a tribe like any other tribe under the sun so dont waste your time hating others life is too short.. After all me ni mhaya and i dont have those characters sijui sample size yako umeipataje.
 
sijawahi kupata vurugiko la roho kama leo.......!
 
jamani according to me,myself and I...the most boring people ni wahaya...yaani being around wahaya is sickening....story zao za kujisifia kila wakati zinaniboa...je ww watu wa kabila gani wanakuboa sana?

Acha "UKABILA" wewe, unataka "KUTAMBIKA"??!!! Mmmh, ila msema ukweli ni mpenzi wa Mungu, tukitoa "MAJANGA" mengine yote nchini mwetu, sio siri "WAHAYA" ni "JANGA" jingine la "KITAIFA"!
 
Wadau, nafikiri mada za aina hii, tungeachana nazo, sidhani kama ni wakati mzuri kwetu kuanza kujadiri maswala ya ukabira, hii siyo kawaida yetu jamani. ila ni bora kila moja wetu akajivunia kabila lake maana wewe ni wewe huwezi kuwa mimi na mimi siwezi kuwa wewe. after all makabira yetu yamechanganyikana ndo maana leo jaijalishi kuona watu wanaoana kutoka kabila moja kwenda jingine
 
nachukiaaa kabilaaa la kichinaaa..kikweli ninanichukiza na kunipaa simaziii,...1.wowowooo la mchinaa, 2.sura ya mchina[rangi ya kichina}.3video computer za kichinaa..kabila bayaa sanaaa
 
jamani according to me,myself and I...the most boring people ni wahaya...yaani being around wahaya is sickening....story zao za kujisifia kila wakati zinaniboa...je ww watu wa kabila gani wanakuboa sana?

Mkuu,

Zingatia zaidi hapo kwenye rangi nyekundu

icon1.png
JamiiForums Rules
  • SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS

    Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:

    1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.

    2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui mabaya, au kuweza kuleta maudhi yoyote kwa wajumbe ama kwa wingi wake, ukubwa wake, au mfumo wake.

    3. Kuleta makala au kuendeleza mijadala yenye kuleta ugomvi, uchochezi na yenye muelekeo wa kutengenishana badala ya kuungana miongoni mwa wajumbe wa JAMII FORUMS na Watanzania wote kwa ujumla.

    4. Kuleta maongezi binafsi baina ya mwanachama na mwanachama (waliojisajili) waliyoongea kwa kuaminiana kutoka katika Private Messages (PM) au barua pepe (Emails) na kuyaanika hadharani kwa nia ya kuchafuana.

    5. Kusambaza kwa makusudi au kwa uzembe barua zenye virusi vya kompyuta.

    6. Kutoa maelezo au shutuma dhidi ya mwanachama mwenzako, kiongozi wa au watu wenye hadhi kijamii bila kuwa na ushahidi wa kutosha kwa lengo la kuchafua rekodi safi ya mhusika kijamii.

    7. Ni sharti kwa kila mwanachama kutoa maelezo au mchango wake kwa uwazi na ukweli na kutomuogopa yeyote wala kumpendelea yeyote bali kuweka mbele maslahi ya taifa.



 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom