Rebecca, uhuru wa tume ambayo hata yule ambaye amepata kura 10 dhidi ya mwenye kura 1000 akitangazwa mshindi ni sawa tu kwa sababu hakuna mamlaka yoyote ya kuhoji maamuzi hayo unatoka wapi? Je kwako hili huoni kama ni tatizo kwa mfumo huu wa vyama vingi na ukizingatia kuwa mwenyekiti wa chama tawala ambaye naye ni sehemu ya wagombea ni bosi wake?
Kulalamika muda mrefu haiondoi uhalali na uzito wa hoja za wapinzani dhidi ya Tume, Polisi na Mahakama kufanyia rafu upinzani.Mkuu jifunze kuwa flexible,hapa ushabiki wana JF watasema nani mshabiki kati yangu mimi na wewe....😀😛,ukweli sikumbuki lini ,nadhani vyama vingi vilianzishwa mwaka 1991 au 1992,sasa miaka yote hio,ni tume isiyo huru,sijui police ndio sababu mmeshindwa kuwa kidedea????miaka yote hii Barack? mkishauriwa mkae chini mfikirie mbinu Zaidi za kupambana mnakua wakali na ku play victim card,mnnhh
Ahsante Rebecca, na kwako piausiku mwema mkuu,
Umeona eeh?!!! Watu siku ile ilikuwa usiku sana, hivyo walikuwa wamelala!asante,ila topic nzima ni mimi na wewe tu???mnh
Hahahaha na utapendeza sana kiongozi mkuu wa chama ukiwa wewe mwanamke ili kuvuta attention kwa wananchi juu ya ujio wa chama kipya ambacho kiongozi wake mwanamkehahahaahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umenicheksha ujue.....na kweli ngoja tuanzishe,lol
Hahahaha na utapendeza sana kiongozi mkuu wa chama ukiwa wewe mwanamke ili kuvuta attention kwa wananchi juu ya ujio wa chama kipya ambacho kiongozi wake mwanamke
Msinisahau Mimi kuwa sehemu ya viongozi wa chama kama mweka hazina wa chamaRebeca 83, tuanzishe chama kipya basi !
Teh teh teh, jiamini mama elimu mnayopata darasani ndio hiyo hiyo tunaipata wanaume, huyo hapo mama Anna Mghwira kajipindua mwenyewe tu pengine chama chao kingekuja kupata nguvu huko mbele ya safari na kuja kuwa kiongozi mkubwa tu wa chama chenye nguvu ya ushawishi kwa umma.hahahahaahhahah unapenda kuimagine eeh,nimekuvulia kofia mkuu,eti becky mwenyekiti wa chama,! labda cha kuku na bata,hahahahaha
Vyama vya upinzani vilivyopo vinatosha sana, hakuna uhitaji wa utitiri zaidi wa vyama, tatizo lililopo ni ccm kutotaka demokrasia kuchukua mkondo wake
Hahahaha looh wewe hujui kwenye siasa ni ujasiri wa kupiga blah blah kibao mdomoni?!mie siwezi kuwa mwenyekiti labda mnipe sector ya visheti,maandazi na bagia,lol