Hii kitu naona inapata wafuasi kadri siku zinavyoenda vipi haina madhara.. tuitumie na vipi bei yake?Kwa wale ma body builders, jamani na mimi nataka nile suppliments niwe mbavu nene kama nyie, ipi ni nzuri kati ya hizi mbili? Naomba maoni yenu.
Zote 180,000/=Hii kitu naona inapata wafuasi kadri siku zinavyoenda vipi haina madhara.. tuitumie na vipi bei yake?
Maana kila mwanaume rijali anapenda awe mbavu nene kuna raha yake ukivaa nguo inakaa Mahalia pale..
Umelipia tangazo mkuu?Zote 180,000/=