Ni muda mrefu jukwaa limekuwa na utulivu wa hali ya juu, katika kujiuliza kwa nini naona kuna sura hazimo humu ndani pamoja na ya huyu mheshimiwa Mwita25. Hivi yupo wapi au jela? Au kabadili id?
Mwita25 amesafiri kwenda kijijini kwake Komuge wilaya ya Tarime, aliletewa taarifa ng'ombe wa baba yake wote wameibiwa. Akirudi na hasira za kuibiwa mtamkoma.
Ni muda mrefu jukwaa limekuwa na utulivu wa hali ya juu, katika kujiuliza kwa nini naona kuna sura hazimo humu ndani pamoja na ya huyu mheshimiwa Mwita25. Hivi yupo wapi au jela? Au kabadili id?