Mahendeka;
Memory ina maana sawa na "Storage Capacity", hivyo neno memory siyo synonymous na neno "storage" as storage. Memory however, zipo za aina nyingi! Changanya na za kwako sasa kupata maana zake za kiswahili!
More over, storage of data in any storage media is just a logical allocation of data to a particular storage space. Ukienda Ubungo Bus Terminal kwa mfano leo hii, kukata ticket ya bus la Jumapili ijayo kwenda Musoma, halafu unaambiwa kuwa basi limejaa! Sasa limejaa vipi wakati hata kuondoka halijaondoka na linatakiwa kuondoka Jumapili ijayo? Changanaya na za kwako tena hapa! Ila swali lako ni zuri saana, nadhani wengi litakuwa lilikuwa linawasumbua!
Unapodelete data zinaenda recycle bin na kumbuka recycle bin ni part ya system kwa hiyo basi data ndani ya recycle bin zinaendelea kuwa valid na unaweza kuzi-access bila kutumia specialized scripts zozote. Right click recycle bin chagua document gani unaihitaji then choose restore. Unapofanya system restore, system inasoma data kutoka backup folder ndani ya computer yako au kokote ulikosave.
Unapoempty recycle bin, system inadelete handle zote zinazohusiana na hizo file zilizokuwa deleted na kuifanya ile space kuwa available kwa file zingine kuandikwa juu yake. Lakini huo siyo mwisho wa hizo data, ukweli ni kwamba data ndani ya hard drives zinabaki humo mpaka hiyo hard drive iharibiwe. mfano kuna department katika serikali ya marekani unaponunua computer kutoka kwao wanakupatia bila hard drive na hard drive zenyewe zinakuwa shreded.
Kuhusu Memory na Storage ni kwamba zote zinatunza data ila tofauti yake kubwa ni kwamba Memory inatunza data kwa muda mfupi (temporary) wakati Storage inatunza kwa muda mrefu.
Kifupi. Haziendi popote . Pale unachofanya unakuwa umefuta Pointer tu ya kwenye Memory location na Memory Adress ambayo ndiyo hasa imezihifadhi.
Ni sawa niandike barua kwa Johna XYA Dodoma nifute sehemu niliondika anuani yake alafu nitumbukize posta. Huyu John XYA kweli yupo huko dodoma lakini kibidamu itakuwa vigumu kumpatia barua sababu hatujui adress yake. Wanamweza kumpata lakini bila anuani itakuwa vigumu.
Kwa Hiyo In digital languge ile Memory adress ya HDD or USB na hata Simcard inakuwa iko free kutumiwa na resouces nyingine lakini kama hijatumiwa basi zile data zilizofutwa zinakuwepo bado. Kwa hiyo kwenye hata ukifuta file fulani likaenda kwenye recyle bin kule ndani ya hard dik linakuwa liko pale pale kwenye location ile ile . Ukifuta kwenye recycle bin unakuwa ndo umefuta pointer ila file lenyewe bado linakuwepo .
Ndio maana kuna tools
Hizi nyenzo zinafanya kazi vizuri tu kama ile adress bado hijatumiwa.
- za kusoma simcard za simu kujua message gani ziliingia zikfutwa.
- za kurecover data zilizofuta kwa bahati kwenye HDD na USB
Unapoempty recycle bin, system inadelete handle zote zinazohusiana na hizo file zilizokuwa deleted na kuifanya ile space kuwa available kwa file zingine kuandikwa juu yake. Lakini huo siyo mwisho wa hizo data, ukweli ni kwamba data ndani ya hard drives zinabaki humo mpaka hiyo hard drive iharibiwe. mfano kuna department katika serikali ya marekani unaponunua computer kutoka kwao wanakupatia bila hard drive na hard drive zenyewe zinakuwa shreded.
Mimi nimejaribu kirahisi sana kama una muda na unataka kuua tafuta malezo ya cumputer science Kuhusu Memory au Storage ManagementSasa, hard disc ikiwa formatted inatokea nini? Formatting maana yake nini hasa?
Kwa lugha rahisi fomatting ni kama deleting. sema neno format linatumika katila level ya hardware na neno deleting linatumika katika level ya file.Recovery of data from a formatted disk
As with regular deletion, data on a disk is not fully destroyed during a high-level format. Instead, the area on the disk containing the data is merely marked as available (in whatever file system structure the format uses), and retains the old data until it is overwritten. If the formatting is done with a different file system than previously existed in the partition, some data may be overwritten that wouldn't be if the same file system had been used. However, under some file systems (e.g., NTFS, but not FAT), the file indexes (such as $MFTs under NTFS, "inodes" under ext2/3, etc.) may not be written to the same exact locations. And if the partition size is increased, even FAT file systems will overwrite more data at the beginning of that new partition.
From the perspective of preventing the recovery of sensitive data through recovery tools, the data must either be completely overwritten (every sector) with random data before the format, or the format program itself must perform this overwriting, as the DOS FORMAT command did with floppy diskettes, filling every data sector with the byte value F6 in hex.
Read full article on Disk formatting - Wikipedia, the free encyclopedia
Asante Mkuu Jua Kali,huwa nasikia jamaa wakali wa data recovery wakiuliza swali hilo unapokuwa umepotelewa na data-kama umeisha save au kuifanyia kazi PC tangu last formating. Swali la ziada je formating nayo ni sawa na delete?Nikiwa na maana je ni rahisi kupata data iliyofutika kwenye formating ya HDD?au duniani hatujafikia hapo?na je pale TZ kuna wataalamu wa kazi hiyo?
Mimi nimejaribu kirahisi sana kama una muda na unataka kuua tafuta malezo ya cumputer science Kuhusu Memory au Storage Management
Kwa lugha rahisi fomatting ni kama deleting. sema neno format linatumika katila level ya hardware na neno deleting linatumika katika level ya file.
Hard disk ikiwa formatted ni kuwa Storage manager (CPU ya HDD) ya Hard disk inaambiwa inaweza kuandika mafile kwenye lacation yeyote na adress yeyote. Ile adress na location ina kuwa declared kuwa wazi kutumika japo inakuwa bado ina mafaile ya zama
Kiukweli ni kwamba ukifuta files/documents kutoka kwenye recycle bin, huwezi ukarecover tena hayo mafaili, yaani ndo hivyo tena huwezi kuzipata unless labda kama umesave mahali mahali hata kama umefuta kwenye recycle bin lkn unaweza kurecover toka sehemu nyingine kwenye computer storage. Ukifuta documents yoyote kwenye recycle bin,kuzipata ni vigumu saaaaana! Ni sawa na kufuta kumbukumbu katika ramani ya dunia.
Mkuu ndo maana nilisema kwa kwa lugha rahisi. CPU ya HDD kwa jina la kitaalam ni Storage Device Controller Storage device zote iwe CD drive, USB,HDD etc zinaunganishwa na PC kwa kitu kinaitwa kinaitwa controllerNaomba ufafanuzi zaidi kuhusu CPU ya HDD pls.
Ukifuta files kutoka kwenye Bin Operating system inaimark lile eneo la hard drive kuwa liko wazio kwa ajili ya matumizi mengine, ila zile data(patern ya bits) ipo pale pale, ndo maana kuna program zinaweza kurecover hizo file. Kama unataka kufuta hiyo data kabisa unatakiwa utumie program ambayo itaandika juu ya hilo eneo la hard disk ili ku overwrite data yako with garbage.
Mimi natumia Eraser ukitumia hiyo hakuna mtu anayeweza kurecover hakuna cha FBI wala CIA, haijawahi kutokea.
Ukifuta files kutoka kwenye Bin Operating system inaimark lile eneo la hard drive kuwa liko wazio kwa ajili ya matumizi mengine, ila zile data(patern ya bits) ipo pale pale, ndo maana kuna program zinaweza kurecover hizo file. Kama unataka kufuta hiyo data kabisa unatakiwa utumie program ambayo itaandika juu ya hilo eneo la hard disk ili ku overwrite data yako with garbage.
Mimi natumia Eraser ukitumia hiyo hakuna mtu anayeweza kurecover hakuna cha FBI wala CIA, haijawahi kutokea.
Duh, Sikujua kuwa mkuu umefanya kazi FBI na CIA mpaka ukajua kuwa hawawezi kurecover data zilizodeletiwa na Eraser.
Hapa chini maneno ya wataalam wengine.
While data can technically never be fully deleted on a hard drive, so-called "government wipes" make the data all but unrecoverable. The only way to absolutely ensure that all traces of previous data are deleted is to destroy the drive and platters.
It is nearly impossible to totally delete files in a hard drive unless you destroy the disk that is in the hard drive, otherwise, with some professional tools and equipment you can still read the data.
This is a very difficult process for amateurs. If you have any doubt in your mind about what you are doing, it is much safer to find a trained professional.
There are even some professionals who can recover disks that have been for example burned, sawed in twice and then smashed with a sledge.