Owosumbaku
Member
- Jan 25, 2011
- 10
- 1
baada ya hotuba ya mkulu ya jusi, ninajiuliza kama anafahamu maana ya methali "akutukanaye hakuchagulii tusi...." itamnasua katika haya.....
1. Aliwahi kusema hajui kwa nini watanzania ni maskini.
2. CC ya CCM ikasema via CHILIGATI "KAMATI IMEONELEA DOWANS WALIPWE".....AG anasema serekali imeridhia, NGeleja akaasema serekali na tanesco zitailipa Dowans mara moja na akaenda mbali kutaja wamiliki feki wa DOWANS including Chandrachangra,,,,,,,nisaidie hili jina maana vizuri
JK akatoka kivyake tarehe 5.2.2011 "mimi siwajui dowans", ninataka wasilipwe"
Je yeye hahusiki na kauli yake, na pia kauli za wateule wake na maamuzi ya vikao alivyoketi nao?
3. Baada ya NGUVU ARi mpya na maisha bora kufeli, akaja na NGUVU ZAIDI na ahadi za Trilion 90 including bajaji chafua hewa.... tarehe 5.2.2011 anasema...
"watanzania wasitegemee makubwa maana hata maraisi wengine walishindwa"
Nauliza wana JF, where are we going?
1. Aliwahi kusema hajui kwa nini watanzania ni maskini.
2. CC ya CCM ikasema via CHILIGATI "KAMATI IMEONELEA DOWANS WALIPWE".....AG anasema serekali imeridhia, NGeleja akaasema serekali na tanesco zitailipa Dowans mara moja na akaenda mbali kutaja wamiliki feki wa DOWANS including Chandrachangra,,,,,,,nisaidie hili jina maana vizuri
JK akatoka kivyake tarehe 5.2.2011 "mimi siwajui dowans", ninataka wasilipwe"
Je yeye hahusiki na kauli yake, na pia kauli za wateule wake na maamuzi ya vikao alivyoketi nao?
3. Baada ya NGUVU ARi mpya na maisha bora kufeli, akaja na NGUVU ZAIDI na ahadi za Trilion 90 including bajaji chafua hewa.... tarehe 5.2.2011 anasema...
"watanzania wasitegemee makubwa maana hata maraisi wengine walishindwa"
Nauliza wana JF, where are we going?