Staili hii ya Mugabe ya kutoa majibu ya haraka yenye kuchunguza swali lililoulizwa ni staili maarufu sana duniani yenye kufanya watu washangae na kutabasamu kwa wakati mmoja.Ni watu wachache wenye kipaji hicho kinachoitwa witicism. So Mgabe inthis instance was very witty.Majuzi Waandishi wa Habari walimuuliza Mh Robert Mugabe....
"Mr President; When Are you Going to Say Goodbye to your People"?
Naye akawauliza; "Where are they Going"???? .......