tanzania ni nchi yenye rasilimali za kutosha kama madini,mito,maziwa n.k.hivi karibuni imegundulika gas pia,lakini kugundulika kwa gas hakujatoa nafasi kwa wazawa kuwa wa kwanza kunufaika nayo hii imejitokeza kwa serikali kutoa tamko kuwa hamna wazawa wenye huwezo wa kuwekeza ktk gas na kupewa vitalu.hivyo basi serikali ifikiri mara mbili juu ya kuwawezesha wazawa zaidi ingawa vigezo pia vizingatiwe kwa wazawa wanaotaka kuwekeza,wenye sifa zinazokidhi basi wapewe nafasi kuwekeza na hii itatoa fursa kwa wazawa kunufaika na rasilimali zao,sio watu toka nje wachume na kuondoka huku tukibaki watupu.