Leo nikiwa kwenye daladala nikamgusa jamaa aliyekuwa amekaa siti ya mbele na dereva ili apunguze sauti ya redio .Amegeuka akanipa elfu kumi;
nilishuka hapo hapo alijua mimi konda!![]()
![]()

Angalau ana mwandiko mzuri sana!
Kuna wachaga wamezoea biashara kila mda wanawaza biashara tuu..ha hahaha



![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu nimecheka mpaka mbavu zinauma! Imebidi nisubscribe kabisa huu Uzi.. Tuwekee vingine mkuu daaahh hahahahhah
Angalau ana mwandiko mzuri sana!
Kiddy :- hello

















































