supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Mlevi karejea kwake usiku kamkuta mkewe kalala na pichu yenye kimkanda tu kwa nyuma(bikini). Jamaa kaanza kucheka mpaka mkewe akaamka.
MKEWE: Unacheka nini?
MLEVI: tangu nizaliwe hii ndo mara yangu ya kwanza kuona makalio yamevaa kandambili







MKEWE: Unacheka nini?
MLEVI: tangu nizaliwe hii ndo mara yangu ya kwanza kuona makalio yamevaa kandambili









ukiona hakijaisha basi umevimba BANDAMA huna kitambi wewe!