Mkali popote
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 633
- 340
mi mpaka sasa bado natumia GB whatsapp+ na haijanisumbua miezi 2 sasa..Tatizo kabla hujainstall unatakiwa ufute ile original whatsapp na ufute folder zake zote ndo itakubali.Ila simu yako kama umeiROOT ndo utaipa 100% whatsapp+ kulala miaka yote kene simu yako.
Mkuu msaada wa maelekezo jinsi ya kuroot simu
Inawezekana
fungua whatsapp kisha setting kisha account kisha privacy kisha utaona read receipts wewe untick hapo kazi imekwisha.
Hapana...Hii kwaajili ya chats zote
mkuu hivi kuna version ya whatsaap ambayo naweza ona video na image bila Ku loading?
Pitia IT FORUM TZ upate kujua jinsi ya kutumia whatsapp kwa namba ya u.s.a hata ukiwa popote duniani
Ndiyo mkuu..gbwhatsapp tunayo ongelea hapa ina hiyo feature
Mkuu nimeingia onhax nimechukua hii YoWhatsapp ila kuna feature moja ambayo nahitaji imekataa ku-work out.
Feature ya single tick nikisoma msg mtumaji aone bado haijafika.
Nime enable ila msg haziingii on time mkuu msg ya saa tisa imeingia saa 12 tena baada ya ku-disable hiyo feature kiongozi.
Naomba msaada kama kuna apk inayofanya kazi vizuri bila usumbufu mkuu.
Thanks In Advane.
Mkuu nataka nione walio online kipindi na chart na mwingine
gbwhatsapp some time inaleta popups za watu walio online kwa wakati huo, yangu huwa inafanyaga ivyo
ni feature hiyo mkuu inaitwa online contact toast unaweza weka on au off.
Mkuu kama una direct link naomba nii download maana Onhax full matangazo kila Niki search
Vipi ukiiweka hiyo kuna haja ya kufuta official?