Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,293
- 2,623
Wengi tumezoea Status zikikaa ndani ya muda wa saa 24 zinapotea kwenye Mtandao wa Whatsapp sio ๐.
Whatsapp kuleta feature inaitwa Archive Status, inayokupa uwezo wa kuhifadhi zile status ambazo zinapotea baada ya kupostiwa ndani ya saa 24.
Hii ni feature ambayo kama ilivyo kwenye Instagram na Facebook unapo posti kitu kwenye Story Zina uwezo wa kujihifadhi kwenye upande wa Archive ikitokea unazihitaji Tena unaweza kuzipata.
Ambapo Mtumiaji atakua na uwezo wa kuhifadhi status zake kupitia archive Status na kuweza kuzitumia Tena hakihitaji, ni kama ilivyo kwenye Whatsapp business ambapo zinakaa siku 30 Kisha zinapotea.
Sasa inataka kuletwa kwa watumiaji wa WhatsApp ya kawaida kwa watu wa Android.