WhatsApp inasumbua

WhatsApp inasumbua

BRO LEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2011
Posts
830
Reaction score
605
Habari wadau naomba msaada nina simu ya TECNO -J8 inagoma kusoma WhatsApp kws kutumia "Cellular data" ila nikitumia Wi-Fi inakubali, tatizo nn na nifanyeje ili niweze tumia Cellular data.

Android version 5:1

Kernel version 3:10:65+
HiOS Boom 1:0.0
 
Update OS ya simu yako 5.1 ni version ya zamani sana.
 
Hii dunia kazi sana hata kupdate simu hujui! Hatari kabisa hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro; Dunia ndivyo ilivyo shukuru Mungu kwa elimu na uelewa ulionao. Ila napenda ufahamu jambo moja kila mtu ni mjinga au mshamba kwa jambo fulani. Kwa hiyo uelewa wangu na kiwango cha elimu si lazima uwe kwenye hizi simu janja.
Cha msingi ni kuelekeza hata kama nilichouliza kwako ni cha kijinga sana.
Kwa kifupi, nime update OS na nikaambiwa ipo up-to-date ila bado tatizo lipo, hivyo ni vema kuonyesha/ elekeza procedures ili nipambane.

Asante.!!!!!
 
Bro; Dunia ndivyo ilivyo shukuru Mungu kwa elimu na uelewa ulionao. Ila napenda ufahamu jambo moja kila mtu ni mjinga au mshamba kwa jambo fulani. Kwa hiyo uelewa wangu na kiwango cha elimu si lazima uwe kwenye hizi simu janja.
Cha msingi ni kuelekeza hata kama nilichouliza kwako ni cha kijinga sana.
Kwa kifupi, nime update OS na nikaambiwa ipo up-to-date ila bado tatizo lipo, hivyo ni vema kuonyesha/ elekeza procedures ili nipambane.

Asante.!!!!!
Aisee umemjibu vema Sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau naomba msaada nina simu ya TECNO -J8 inagoma kusoma WhatsApp kws kutumia "Cellular data" ila nikitumia Wi-Fi inakubali, tatizo nn na nifanyeje ili niweze tumia Cellular data.

Android version 5:1

Kernel version 3:10:65+
HiOS Boom 1:0.0
Very simple mkuu hilo tatizo fuata hatua hizi
ukitoa lock na simu ikabakia inaonekana home tu
slide kufungua option za pale juu za shortcut utaona notfication ambayo huwa haitoki ambayo inakuwa nikama phone care inaoption za ku-clear ram storage nk
Bonyeza hiyohiyo utaona option ya mambo ya data bonyeza hapohapo,
kisha utaona option ya application data bonyeza hapo
kisha utaona application zako zote hapo mbele utaona option ya WI-FI na Data
hakikisha upande wa data katika whatsapp imefunguliwa ukibonyeza hapo tatizo solved
ukishindwa utakuja inbox nikupigie nikuelekeze

maana kuna badhi zinatofautiana maelezo kidogo, uifanikisha leta mrejesho mkuu ukishindwa nicheki inbox nitakupigia
 
Back
Top Bottom