WhatsApp inapoteza sana muda

WhatsApp inapoteza sana muda

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Habarini ndugu zangu.

Nimefuatilia kwa muda mrefu bila mashaka, kwamba Watanzania wengi tumechanganyikiwa na WhatsApp kuanzia asubuhi, mchana hadi alfajiri!

Watu wana magroup mpaka 50. Akiamka asubuhi anaanza kuview status za watu wake karibu 300 huko. Bado hajachangia kwenye magroup.

Watu hawafanyi kazi maofisi kwa sababu ya WhatsApp. Ni changamoto sana.

Tumerogwa fulani hivi.
 
Habarini ndugu zangu.

Nimefuatilia kwa muda mrefu bila mashaka, kwamba Watanzania wengi tumechanganyikiwa na WhatsApp kuanzia asubuhi, mchana hadi alfajiri!

Watu wana magroup mpaka 50. Akiamka asubuhi anaanza kuview status za watu wake karibu 300 huko. Bado hajachangia kwenye magroup.

Watu hawafanyi kazi maofisi kwa sababu ya WhatsApp. Ni changamoto sana.

Tumerogwa fulani hivi.
Hilo ni tatizo lako binafsi kama hauna time management.

Wengine unaona muda wote wapo humo hujui kwamba ndio ofisini kwao, sasa shida ipo kwako unayewaiga watu.
 
Habarini ndugu zangu.

Nimefuatilia kwa muda mrefu bila mashaka, kwamba Watanzania wengi tumechanganyikiwa na WhatsApp kuanzia asubuhi, mchana hadi alfajiri!

Watu wana magroup mpaka 50. Akiamka asubuhi anaanza kuview status za watu wake karibu 300 huko. Bado hajachangia kwenye magroup.

Watu hawafanyi kazi maofisi kwa sababu ya WhatsApp. Ni changamoto sana.

Tumerogwa fulani hivi.
Na bado kidogo Telegram pia itaingia kwenye orodha...ndo hivyo tupo kwenye ulimwengu wa mitandao ndugu yangu.
 
Kuna baadhi ya watu hii mitandao ya kijamii ni sehemu za ofisi zao.
 
Habarini ndugu zangu.

Nimefuatilia kwa muda mrefu bila mashaka, kwamba Watanzania wengi tumechanganyikiwa na WhatsApp kuanzia asubuhi, mchana hadi alfajiri!

Watu wana magroup mpaka 50. Akiamka asubuhi anaanza kuview status za watu wake karibu 300 huko. Bado hajachangia kwenye magroup.

Watu hawafanyi kazi maofisi kwa sababu ya WhatsApp. Ni changamoto sana.

Tumerogwa fulani hivi.
Mtu ana groups kadhaa, na huko kati yuko active, akichangia na kuanzisha mada, mwanzo mwisho!
 
Shukuru Mungu kuweza kukuunganisha na jamii kubwa hivyo, kuna wengine magroup yamekuwa sehemu ya kukuza biashara, kufarijiana, kusaidiana na shughuli mbali mbali, ..... kuna wadau wana taarifa kuliko hata kununua magazeti na kusoma (mi nilishaachaga kununua magazete, JF yanitosha)

ni kweli yanapoteza muda endapo hutotenga muda maalumu wa kuangalia yaliyojiri katika jamii... ila adiction/uraibu mbaya sana hata sms ikiingia kwa simu ya jirani yako ama ukimwona anasoma sms weyeee fasta unawasha dataaa haaa
 
Habarini ndugu zangu.

Nimefuatilia kwa muda mrefu bila mashaka, kwamba Watanzania wengi tumechanganyikiwa na WhatsApp kuanzia asubuhi, mchana hadi alfajiri!

Watu wana magroup mpaka 50. Akiamka asubuhi anaanza kuview status za watu wake karibu 300 huko. Bado hajachangia kwenye magroup.

Watu hawafanyi kazi maofisi kwa sababu ya WhatsApp. Ni changamoto sana.

Tumerogwa fulani hivi.
Huo muda wa kuangalia status za mtu mnatoa wapi?

Zina umuhimu gani?

Kwani kila group lazima uingie usomemsg?

Magroup yasiyo ya lazima si unajitoa?

Kiufupi ukiona mtu yupo busy na whatsapp ujue hana shughuli ya kufanya
 
Unatakiwa ujue muda wa kuacha! Social media zote zina addiiction, weka ratiba ya kuwa huko
Hata hii Jf ukifanya maskhara jua linazama upo hapa hapa.
 
Habarini ndugu zangu.

Nimefuatilia kwa muda mrefu bila mashaka, kwamba Watanzania wengi tumechanganyikiwa na WhatsApp kuanzia asubuhi, mchana hadi alfajiri!

Watu wana magroup mpaka 50. Akiamka asubuhi anaanza kuview status za watu wake karibu 300 huko. Bado hajachangia kwenye magroup.

Watu hawafanyi kazi maofisi kwa sababu ya WhatsApp. Ni changamoto sana.

Tumerogwa fulani hivi.
Hoja yako iko too General na ina Fallacies nyingi tu halafu hukuushirikisha vyema Ubongo wako Uliolala kabla ya kuja na huu Upuuzi.

Ina maana umeshindwa tu kujua kuwa kuna Watu wengine kutokana na Soko la Ajira kuwepo sasa wameamua Kujiongeza na Kubuni Miradi ili wapate Vipato na uwepo Wao 24/7 huko katika hayo Makundi ya WhatsApp ndiyo Ajira yao na Kunawalipa?

Una Hoja ya Msingi mahala fulani, ila ulichosahau ni Kuichakata Kwanza Logically na Kuiwasilisha na badala yake umekuja fully na Kisununu ( Chuki ) kwa Watu walioko katika WhatsApp Groups utadhani Bando za Wao kuwepo huko huwa unawatolea Wewe.
 
Si tuliambiwa bunge kuonyeshwa mubashara ndiko panapotezea muda watanzania, kumbe hata wasap 😁😁
 
Lini wamekuomba sembe hadi ukereke kwa kuwahudukia?
Au wamefunua maficho yako?!
 
Wameipenda wenyewe
Isikuumize kichwa…
 
Back
Top Bottom