Whatsapp inagoma ku connect

Whatsapp inagoma ku connect

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,116
Reaction score
5,119
Nime dowload whatsapp na nimeingiza namba yangu ya airtel lakini inshindwa ku connect.Nimejaribu zaidi ya mara kumi,naomba msaada.
 
Unapata ujumbe gani? na unatumia simu gani?
 
Unapata ujumbe gani? na unatumia simu gani?
unable to connect.please check you are connected to internet____
Please reboot

Nimezima na kuwasha lakini bado na pia internet ipo connected kwani naingia google na hata JF
 
Nimetembelea.
Hii ni simu mpya kwangu na laini ninayotumia sikuwa natumia kabla kwa hivyo suala la mzigo mzito halipo.
Nim e download upya,nika install na ikaja katiak ku verify number na baada 255 nikajaza namba yangu nikiwa nimeondoa 0 na nikabonyeza OK.Inazunguka weeee na mwisho inanililetea ujumbe hapo juu.


Tafuta unapoweza kupata WiFI, ata kama ni ya tethering kutoka kwa mtu ambaye net ipo fresh. Itakubali, baada ya hapo itafanya kazi kama kawaida. :mvutaji:
 
Nimetembelea.
Hii ni simu mpya kwangu na laini ninayotumia sikuwa natumia kabla kwa hivyo suala la mzigo mzito halipo.
Nim e download upya,nika install na ikaja katiak ku verify number na baada 255 nikajaza namba yangu nikiwa nimeondoa 0 na nikabonyeza OK.Inazunguka weeee na mwisho inanililetea ujumbe hapo juu.

hilo ni kawaida kutokea hasa mtandao ukiwa low.
usichoke jaribu tena hasa usiku kuanzia saa 6 hapo mobile network na data connection zinakuwa vizuri.
 
hilo ni kawaida kutokea hasa mtandao ukiwa low.
usichoke jaribu tena hasa usiku kuanzia saa 6 hapo mobile network na data connection zinakuwa vizuri.
NIMEFANIKIWA!!!!!!!!!!!!!!!
Ni baada ya kupata maelezo kutoka google na ilibidi nitoe line na kujiunga kwa kutumia Wi FI.
LA AJABU ni kuwa kwa sasa access ni kwa kupitia Wi fi tu lakini kwa internet ya line ya simu inagoma mno.
Hivyo kila wakati ni kuomba kwa jiarni aweke Wi Fi on!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom