tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,425
- 4,771
Kumekuwa na haka katabia ka wake za watu kuwa katika groups za WhatsApp. Group hizi hujitambulisha kama za wanafunzi wa zamani, mapishi, kufundana, maombi, 'vikoba' n.k. Baadhi ya makundi yana viingilio hadi 50,000/= huku administrator akiwa kama kungwi.
Wanawake wamekuwa wakifunguka namna ya kuridhisha mabwana zao na pia kutoa udhaifu kedekede wa wenza wao kama kutowafikisha kileleni, dushe dogo, n.k. Kila ukifanya kitu na mkeo basi mwenzako ana post.
Jamaa yangu juzi kanyaka simu ya mfanyakazi mwenzake wa kike, akajua udhaifu wa mumewe. Hakupata shida ya kumtokea na kumvua nguo. Yaani ni aibu.
Wanawake wamekuwa wakifunguka namna ya kuridhisha mabwana zao na pia kutoa udhaifu kedekede wa wenza wao kama kutowafikisha kileleni, dushe dogo, n.k. Kila ukifanya kitu na mkeo basi mwenzako ana post.
Jamaa yangu juzi kanyaka simu ya mfanyakazi mwenzake wa kike, akajua udhaifu wa mumewe. Hakupata shida ya kumtokea na kumvua nguo. Yaani ni aibu.