Hata mm nime-experience hicho kitu kwa baadh ya watu nlowapgia,,ila siwez sema ni whatsapp au mitandao yetu ndo inazngua,,
Kwa ushaur update whatsapp yako to version 2.12.7,,wenywe wanadai wamei-prove call quality katik version mpya.
Hata mm nime-experience hicho kitu kwa baadh ya watu nlowapgia,,ila siwez sema ni whatsapp au mitandao yetu ndo inazngua,,
Kwa ushaur update whatsapp yako to version 2.12.7,,wenywe wanadai wamei-prove call quality katik version mpya.
mkuu mbona nikipiga au kupigiwa hatuwezi kusikilizana? simu inaita vizuri tu lakin pale unapopokea tu husikii sauti kabisa yaan hii WhatsApp call haina sauti kabisa nn tatizo tafadhali?