Watoto wote wanakula lakini paka amekaa na njaa
Huyo mnyama ananjaa na hajapewa chakula wala maji!!! Haki za wanyama watatusaidia hapo sheria ifate mkondo wake.
Mmekosa, jaribu kuchunguza zaidipaka amenuna hajawekewa chakula,wakati wengine wote Wana nyuso za furaha

Naomba usome post namba 41, mimi ndio nilioleta hii riddle unavonibishia inamaana wewe ndie unaetaka kutunga riddle yako mwenyewe...Hapa issue ni saa kuwa na mshale mmoja tu! Hamna kingine! Swala LA jug kuwa empty ni graphics tu, ni sawa na kusema mbona nywele ni za njano! *saa ina mshale mmoja*

Soma hapaNaomba usome post namba 41, mimi ndio nilioleta hii riddle unavonibishia inamaana wewe ndie unaetaka kutunga riddle yako mwenyewe...
Purpose ya hii riddle ni kuidentify hilo la jagi na si kingine...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hapanasaa ni ya ukutani,ila imening'inizwa hewani.mazingira ya picha ni ya nje
Naomba usome post namba 41, mimi ndio nilioleta hii riddle unavonibishia inamaana wewe ndie unaetaka kutunga riddle yako mwenyewe...
Purpose ya hii riddle ni kuidentify hilo la jagi na si kingine...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tatizo lipo kwenye jagi, tofautisha saa na stop watch, saa ya ukutani haina izo batani za kubofya..ok boss, ila bado niko pale pale kwa jinsi ulivyoikopy tatizo liko kwa saa, 😎😎

ahh okSioni kitu! Sipo fb
Mkeo anachura?Mama hana chura!
Mkeo anachura?Mama hana chura!