Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,913
- 3,737
Nikijarib kutafakari maisha nakosa jibu.kila kitu kwa maisha kinachosha sio pesa,sio mademu hiv maisha yametokea wap na kwa nn mtu anazaliwa halafu anakufa.anapambana yote ila mwisho wa siku anakufa. kwel ukifikiria kila kitu useless kwa kwel maisha nin na nini lengo la mwanadamu kuish.