intelinside
JF-Expert Member
- May 21, 2015
- 306
- 406
Nimecheka sana, usumbufu wa hawa viumbe ukiwakuna ni shida arif...Mwanangu mwenyewe nilikuwaga zuzu kinoma nikampata demu moko ya kizalamo huko Kibada kigamboni kala unyago mpaka sio vizuri akanifundisha kumkata kiu kila aina ya demu,bwana bwana siku hizi kila demu niliemkunja anataka zaidi ya Mara 3.
Nimeona nitulie tu maana kila nitakaetaka awe wa kuzugia nikisharamba nae akilamba asali basi kinachofuata anataka achonge mzinga dadeki.
