What went wrong with The Economist?

Hivi kwanini mnahangaika sana kumtetea DU wenu. It does not work, it wont work. Mwambieni abadilike.... that is the one and only one way ya ku msaidia..... Hayo mengine yanazidi kumdidimiza kwenye tope.... End of Story.!!!

Usijichoshe hana muda mrefu dictator uchwara
 
Mimi naunga mkono gazeti, kwenye nakala ya kumhusu rais, inabidi ajirekebishe.
Anaharibu image ya nchi kimataifa.
Hilo gazeti linasomwa kimataifa kulipo hata hii jf
Afadhali wewe unatoa msimamo waki kama msomi anayejitegemea kimawazo kuliko mmoja humu akaishia kuniita muongo. Naheshimu mawazo yako.
 
Mleta mada umemsoma Bob Catley kwa vituo kisha ukafanya cross-referencing, ukazama kwa The Economist's and Catley idiologies before your attempt to discredit The Economist in relation to their criticism towards JPM?!

Hebu msome kwanza Bob Catley:
So, why have I dropped off this amazingly successful, very influential, and quiet profitable production?
Awali ya yote, wakati wewe unajaribu kuli-discredit The Economist, Catley mwenyewe ameeleza ni namna gani lilivyo influential and successful.

Na kwenye hiyo article amesema wazi target audience ya The Economist ni ipi!


Aidha, mwanzoni kabisa ali-highlight ni namna gani alianza kutovutiwa kusoma The Economist hadi wakamtumia survey questions.

Hapo pia Catley anasema:
The Economist sent me an opinion poll about itself, which I filled in. It was somewhere around the Brexit/US election period and I was very critical. The Economist campaigned very hard against Brexit and Trump veryhard. And it thought both would be defeated. I was of exactly the opposite view and thought both Brexit and Trump should and would win.

Sasa ukichanganya yote hayo, wala hutachelewa kuona it's all about IDEOLOGY!

Hapo juu amesema wazi kwamba The Economist ni Classical Liberals na advocates wakubwa wa FREE TRADE, SOCIAL LIBERTY, FREE MOVEMENT, FREE SPEECH, ANTI-STATISM, RELIGIOUS TOLERANCE and the like!

Ni kutokana na hiyo ideology ndio maana walikuwa against Trump wakati wa uchaguzi kwa sababu Trump alionesha wazi na finally aka-prove he's against Free Movement, borderless nations and has no religion tolerance kutokana na sera yake ya ku-ban baadhi ya mataifa!

The same applies to Brexit ambayo inaonekana inaenda kinyume na The Economist's ideology.

Kwa advocate wa Free Trade & Freedom of Movement; technically they are advocating for national borders to cease to exist so as to efficiently facilitate free trade and free market!

Kinyume chake, while union means ceasing national borders; Brexit means recreating the ready ceased borders!

But wakati The Economist ipo against hayo, Bob Catley was and in fact is in favor of Trump's policies which includes but not limited to abusing free movement as well as religious tolerance and also he's in favor of Brexit which abuses the existence of borderless world.

Ukiyafahamu hayo, hupati taabu kuona ni kwanini the very same The Economist is also against JPM who abuses FREE SPEECH, private sector which is vital in free trade but even more important, kama ambavyo wame-conclude hapo juu ni namna gani 2016 ilikuwa setback not only kutokana na ushindi wa Trump na Brexit but also ILLIBERAL DEMOCRACY! Which means, there's nothing personal with JPM but it's all about ideology and sticking on!

So, hata kama unajaribu kushawishi vinginevyo, kimsingi article ya Catley inaonesha wazi kwamba The Economist hawaangalii sura wala utaifa! So, long as unaenda kinyume na what they believe; wataku-criticise tu!

So, a smart way to criticize The Economist kwa issue ya JPM is to prove them wrong by showing jinsi JPM alivyo Pro-democracy, anavyo support free speech, free market and the like or else, accept my apology in advance cuz' see no better way of concluding this zaidi ya kusema "it's probably The Economist is too advanced for you!"

You're probably a rocket scientist genius but with this; NAH!
 
Hili gazeti linamilikiwa na Rothschild family ambao ndio matajiri wakubwa duniani kwa kila aina ya biashara ikiwemo za madini. Hutumia gazeti hili kwa propoganda dhidi ya nchi ama kiongozi anayehatarisha maslahi yao ya kibiashara.

Rothschild Conspiracy

The name Rothschild is literally associated with wealth. For over 200 years, the Rothschild family have remained the most powerful and wealthy family in the world. Their wealth has been made primarily in the world of banking. However, they have massive investments in other industries such as real estate, oil and construction. This unique family began with their patriarch, Mayer Amschel Rothschild. He was a Jew living in Germany in the 18th century. He was a court Jew or personal banker of the German royals and governors of the Roman states in Hesse-Kassel. In the year 1760, he has begun a banking business in the city of Frankfurt. Over time, he provided his services to the nobles and royals of Germany and accumulated a huge fortune.
 
Njia mzuri ya sio kusema halikidhi vigezo au ni Jarida feki hapana

Njia mzuri ni kujibu Kwa ufasaha kile kilichosemwa na sio kujiuliza kama mwandishi akili zake zipo sawa or not

Hicho ulichokiweka hapa kimeandikwa kwenye article hiyo???
 
Back
Top Bottom